Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Kamanda Msangi kupelekwa jijini Dar?

Nitajieni wateule wa JK waliosalia awamu hii.
 
Magu achaguliwi,usije kukuta ni picha tofauti kabisa.
 
Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi
Tatizo la msangi anaweza kukupa kesi mbaya kisa tu mwanamke mmeingiliana
 
Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi
Ina maana watu wa Mwanza hawahitaji huo utendaji uliotukuka??????!!!!!
 
Habari za ndani ni kwamba baada ya kamanda sirro kuteuliwa igp, kamanda wa polisi mkoa wa mwanza dcp ahmed msangi analetwa dsm kuwa kamanda kanda maalum.hii inatokana na utendaji wake uliotukuka usio na chembe ya mashaka hata kidogo...karibu dar dcp msangi
Hivi si alikuaga Mkuu wa Upelelezi Dar kabla ya kupelekwa Mbeya kua RPC then Mwanza?
Wapi Camilius Wambura ndo RCo wa Dar bado?
 
Back
Top Bottom