Inasikitisha sana kuona watanzania wenzetu wakiishi maisha ya hofu kana kwamba hawapo nchini mwao, kule Kitunda kuna sehemu inaitwa Nyantila ambapo maduka zaidi ya 20 yamebomolewa na kuibiwa siku tatu zilizopita.
Na yakaporwa tena jana, vijana wanapora adharani na wanaogopwa, watu wanakabwa saa 2 usiku, wafanya biashara wanalazimika kufunga biashara mapema kuogopa hayo makundi ya uporaji, kuna sehemu inaitwa Sabato na sehemu inaitwa Pentagoni wananchi wanaishi kwa hofu sana.
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua kuwasaidia wananchi wa yale maeneo.juzi watu nane wameporwa simu na pesa , tunaomba mamlaka husika msaidie kuhusu hili, tension ya yale maeneo ni kubwa sana, hofu ipo juu sana.
Na yakaporwa tena jana, vijana wanapora adharani na wanaogopwa, watu wanakabwa saa 2 usiku, wafanya biashara wanalazimika kufunga biashara mapema kuogopa hayo makundi ya uporaji, kuna sehemu inaitwa Sabato na sehemu inaitwa Pentagoni wananchi wanaishi kwa hofu sana.
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua kuwasaidia wananchi wa yale maeneo.juzi watu nane wameporwa simu na pesa , tunaomba mamlaka husika msaidie kuhusu hili, tension ya yale maeneo ni kubwa sana, hofu ipo juu sana.