JK kamanda wa kweli JWTZ achana na huyu graduate wa sanaa za maonyesho. Mara zote mbili Kikwete alikuwa kwenye swaumu na ilikuwa dehydration tu. Kwa sisi tunaofunga tunaelewa what goes on hasa ukijitumikisha sana wakati mwili hauwi replenished accordingly.
Juzi juzi hapa Mbowe kapoteza netiweki wakati wa kuzindua kampeni za UKIWA mpaka kakimbizwa na kulazwa Muhimbili. Unajua tatizo lilikuwa nini? Uchovu na dehydration which is normal. Sasa huyu mtaalam wa sanaa za maonyesho anatetemeka kabisa permanently tunaona hivi halafu unaleta argument ya Kikwete kuanguka? Tuombe tu kuwa his mental faculties are still intact otherwise kuna hatari ya kuongozwa na zombie/msukule japo naamini hatashinda kwani Watanzania siyo wapumbavu wala malofa!