Kamanda Lema ndani ya Arumeru

Kamanda Lema ndani ya Arumeru

Mkuu siongelei walinzi wa jadi wa Tarime, naongelea vitu vya makabila Sime na Marungu.

Mkuu wangu kabla ya Tendwa kuongea yale maneno angepaswa kufikiri kama ulivyosema
 
Si mlisema wazee wa Arumeru wamsuta Tendwa na thread ilianzishwa JF hawajasema hayo maneno?
 
Wasiwasi wangu wataambiwa wanaandamana hivyo kutoruhusiwa kumlinda kwa wingi wao huo.
 
sipati picha jeshi lote hili endapo kura zikichakachuliwa itakuaje.hii ni hatari sana mungu tuepushe na kikombe hiki.

Mkuu kwa jinsi hawa vijana walivyojipanga huenda haki isipotendeka yakatokea mengine
 
Du!! kweli hii ni hatari mkuu.mi naona kwnz tusubiri uchaguzi upite kitajulikana
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.

Police wetu mpaka wapelekewe taarifa ya uhalifu ndio wachukuwe hatua,hata hivyo kumbukumbu zinatuonesha ya kwamba taarifa nyingi za uhalifu zimepelekwa lakini hazina majibu sahihi ...mfano chaguzi mbili busanda geita green guard waliwapiga wafuasi wa vyama vingine mbele ya police mpaka leo hii hamna lolote ..igunga utakumbuka raia wangapi walikufa lakini ni kama kupoteza wakati tu kuwahusisha police hata kesi ya hijabu au yule wa viti toka musoma maalumu gari lake lilivunjwa vioo mpaka leo ......ni kama kupeleka kesi ya mwizi kwa shetani
hata hao unao sikia wamekamwata meru na takukuru hawatafanywa lolote ..si uliwahi kusikia mama sita alikamwata na bahasha zenye laki laki lakini alimkamata leo hayupo kituo chake au hata kazi hana
hii ndio serikali yetu ya ccm yako inavyo fanya mambo ..hayoni madogo ya wazi makubwa naogopa kujinyonga niwahi kaburini mapemaaaaa

 
Si mlisema wazee wa Arumeru wamsuta Tendwa na thread ilianzishwa JF hawajasema hayo maneno?

Sasa mkuu huoni kwa kauli ya Tendwa tayari amejenga hisia kwa maadui wa Lema kumdhuru?
 
Wasiwasi wangu wataambiwa wanaandamana hivyo kutoruhusiwa kumlinda kwa wingi wao huo.

Mkuu kitakachotokea itabidi kila atakakoenda na hao vijana watakaomlinda na polisi watakuwepo kwa hiyo idadi ya wanaomlinda Lema itaongezeka maradufu
 
Walituonea Igunga na Green guards,arumeru sio igunga ohoooo.....msicheze na nguvu ya umma,hao vijana wa meru ni zaid ya wamasai.ohooooo
 
Polisi huwalinda CCM ili waibe kura. Hawako kwa ajili ya watanzania. si jeshi la watanzania bali jeshi la polisi. It is a waste of your time to report any fraudulent activity to TPDF. You know it that is why you are trying to suggest it as your party strategy. If police force was fare from the beginning, they could have a lot of our trust. they lost it...they should work on restoring the trust they lost to the citizen. Njia pekee ya kudeal na ccm ni jino kwa jino. aking'ata unang'ata, lakini ukianza kutafuta mkaa kati asiyekuwepo hautafanikiwa.
Mimi si mwanachadema na wala si mwana ccm lakini sikubaliani na mambo yanavyoendeshwa nchi hii ukianzia na jinsi jeshi la polisi lilivyo kiaisa zaidi.
 
Huyu Tendwa kazua balaa, nadhani ni vizuri hao Morani wakafanya hiyo kazi maana polisi hawaaminiki kwa sasa.
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.

Kwani ni nini kazi ya jeshi la polisi? Wao baada ya lile tamko la hao wazee wa ccm meru ndo walitakiwa kumtafuta lema alipo ili kumlinda.Hii ndo inadhihirisha kuwa hamuwezi kucheza na Nguvu ya umma,hao polisiccm na usalama wa ccm watawalinda nyie ccm,ila cdm watalindwa na raia wema,tuone ipi itakuwa more secured,hao moran 363 yaweza kuwa trela tusubiri picha.Green guards pushne.
 
Nakumbuka hawakuwa wawazi watamuua kwa njia gani,kama ni ushirikina nawatahadharisha mapema tena muwapelekee taarifa,wasicheze na Lema kijana anamtumikia Mungu kwa roho na kweli watajikuta wanatembea uchi mchana kweupeee...yani wasithubutu kabisa.
 
Nakumbuka hawakuwa wawazi watamuua kwa njia gani,kama ni ushirikina nawatahadharisha mapema tena magamba wenzao muwapelekee taarifa,wasicheze na Lema kijana anamtumikia Mungu kwa roho na kweli watajikuta wanatembea uchi mchana kweupeee...yani wasithubutu kabisa.
 
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.

Acha Undumilakuwili, green guards wa CCM wanavyopiga watu wewe unaona sawa?
 
Wazazi kama polisi mpaka leo hawajafungua fail la hao washiiri unategemea nini angesema lema atawauwa washiiri wote wa meru leo angekuwa lupanago ..................twendeni kazi wazazi CDM rungu rungu sime sime ndo maana yake
 
Ewe mola tuepushe na hili balaaaa! Morani zaidi ya 300 si ni zaidi ya platoon 5! Hivi Moran wa Kimeru wana tofauti na wale wa Kimasai kwa maana ya ubebaji wa silaha kama sime na marungu?

Mkuu Morani wa Kimeru usipime, 20 tu wanadhibiti FFU 400, sasa hawa 300 itakuwa balaa, huwezifananisha Morani wa Kimeru na wa KImasai, wameru ni Noma, muulize Lyatonga utapata habari kamili:welcome:
 
Back
Top Bottom