Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
CCM mlichokoza sasa tumeanza kazi Rasmi, kwanza tumeshinda saa nne Asubuhi kwakutuletea Sumari mtu ambaye amekosa Utu, hata baba yake hajamaliza Arobaini anakimbilia kumridhi mzazi wake, Kweli ccm mmekwisha, Arumeru siyo igunga mseme mtapeleka vyakula vya misaada kule kuna migomba jombii nichakula tosha. Sana sana mahindi tutachukua kwakuwa yamenunuliwa na kodi zetu. Sioi ni mwepesi kuliko hata pamba.