Huyu Tendwa kazua balaa, nadhani ni vizuri hao Morani wakafanya hiyo kazi maana polisi hawaaminiki kwa sasa.
Tendwa atoke mafichoni sasa afafanue kauli yake.
Huyu Tendwa kazua balaa, nadhani ni vizuri hao Morani wakafanya hiyo kazi maana polisi hawaaminiki kwa sasa.
Mkuu Morani wa Kimeru usipime, 20 tu wanadhibiti FFU 400, sasa hawa 300 itakuwa balaa, huwezifananisha Morani wa Kimeru na wa KImasai, wameru ni Noma, muulize Lyatonga utapata habari kamili:welcome:
CCM hawatoki Arumeru....Kaka Mwigamba Fanya mambo yako ila usiache kalamu yako J5
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Hapo hapo!!! Uliza vizuri historia ya Mtu anayeitwa SIMBA KIMUTO! hutatamani kufika Meru ukimjua vizuri na hicho kikosi chake! mmechokoza na mtaona, bahati nzuri Wameru sisi kwenye suala la umoja tunasahau tofauti tunarudi kutetea ndg zetu, hata kama tuko Serikalini na vitengo nyeti, kwenye undugu tutakuwa kitu kimoja, ikiwa ni pamoja na majeshi yote, turudi kulinda heshima yetu :A S-fire1:
CDM mnaipeleka wapi Arumeru? Kila mtu akiwa warlord kama Somalia, akawa na wanamgambo wake, na silaha zake, si uchaguzi utageuka chanzo cha vita vya wanamgambo?
Msituletee mambo yenu ya shari, lazima usalama ulindwe na Polisi....full stop!
hapo hata wakipeleka kamanda tosi atafurushwa tu...!Mkuu Morani wa Kimeru usipime, 20 tu wanadhibiti FFU 400, sasa hawa 300 itakuwa balaa, huwezifananisha Morani wa Kimeru na wa KImasai, wameru ni Noma, muulize Lyatonga utapata habari kamili:welcome:
Sasa Lema peke yake kulindwa na Morani 363 je Mgombea ubunge mwenyewe Nassari atalindwa na Morani wangapi?
Ha ha ! we jamaa wa zamani!! Cisco dah by 1995 was just 5 yrs old..Lakini ameula..balozi wa Tz nchini Malaysia..unacheza na jk nn
Mkuu siongelei walinzi wa jadi wa Tarime, naongelea vitu vya makabila Sime na Marungu.
hapo hata wakipeleka kamanda tosi atafurushwa tu...!
Tumemwaandalia Wameru wote wamlinde wakiongozwa na vijana machachari waliosomea mafunzo ya aina zote, hatutaji hiyo ni siri ya kikosi, pia kuna ulinzi wa hao 300 na ushee wanaongozwa na Mkuu Kamanda Simba Kimuto ambaye anajulikana mambo yake!! Waulizeni Polisi kuwa Who is Kamanda Simba Kimuto? kabla hawajajibu watakuwa wameshakuacha wakikimbia.
Mkuu angalia wasije wakaishia kumlinda Lema wakasahau kupiga na kulinda kura matokeo yake wakafarakana baada ya mtu wa upande mwingine kutangazwa mshindi!
Mkuu kura zinalindwa na Wameru wote, wameamua kuwa hii itakuwa siku ya ukombozi ambayo hakuna mtu aliyejiandikisha atakayeacha kupiga kura, pia kila mtu ni mlinzi wa mwenzake. Tumeweka maimformer kila mahali na kila kitengo muhimu.
Tatizo jina lako la Ngoromiko na ushauri wako ni vitu viwili tofauti, sijawahiona Shetani akitoa ushauri wa kusitisha mapigano labda kama amezidiwa na ana maslahi fulani!!
Jamani Wana JF [Ngoromiko maana yake ni Shetani] kwa lugha ya huyu bwana aliyejiita Shetani:shetani: Ndiye huyo jamani!!!
Mkuu kura zinalindwa na Wameru wote, wameamua kuwa hii itakuwa siku ya ukombozi ambayo hakuna mtu aliyejiandikisha atakayeacha kupiga kura, pia kila mtu ni mlinzi wa mwenzake. Tumeweka maimformer kila mahali na kila kitengo muhimu.
...jeshi gani la polisi?...hili liloua raia Songea?...Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Kwa hiyo unataka kutuambia Wameru wote ni Chadema?