Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,954
- 134,035
Jamani mbona ni wengi sana!
hapana ni ndogo sana, ni kutokana na ufinyu wa bajeti. tunatarajia kuanzia harambee kubwa ku-finance hii kitu, tunapita pia JF..CDM&JF dugu moja
Jamani mbona ni wengi sana!
Mkuu Tarime hakuna walinzi wa jadi! Tarime kuna wamura wenye hasira.
Mwakyembe aliomba ulinzi wao miezi Tisa kabla hajawekewa Polonium 210 na matokeo yake umeyaona. Kumbe wao ndo wanaoshirikiana nao.
Dots connected!
Kwani mwakyemebe hakuwa na ulizi wa polisi na kama hakuwa na ulinzi kwanini ili hali alisha toa taarifa ya kutaka kuumwa na Al shabab wa CCM.....leo unataka lema atumie njia alizotumia mwakyembe...Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Watashindana nasi lakini hawatashinda- A. Lusekelo. Jeuri ya kobe ni majini na jeuri ya magamba ni penye misikiti mingi! sasa huku Arumeru wameshikwa pabaya sana.
Lema anapaswa kuwa na ulinzi kwani Tenda na CCM wana wenza kukodisha watu wa kumzuru ili ionekane tendwa alichokiongea ni kweli.....Wala hana aja ya kutaka ulinzi kama huo kwani najua yale ni maneno matupu ambayo hawawezi kuyatimiza bali walidhani Lema atatishika
Kama ni Arusha mjini atapigwa mawe mbaya kabisa sina uhakika na Arumeru lakini kama ukisema Arumeru ( USA-river) pale hakuna tofauti ya Arusha mjini.....Nasikia kampeni kwa upande wa CCM waziri mkuu mstaafu Lowasa atasimamia kama ilivyo kuwa Igunga alikuwa Rostam
Jirani, heshima kwako. Nitaiandaa thread yake immeadiately, usihofu.mkuu wa Iramba Mashariki una logic sana, unaonaje hapo kwnye red ukaiwekea thread yake tukalijadili kwa mapana zaidi
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Sasa Lema peke yake kulindwa na Morani 363 je Mgombea ubunge mwenyewe Nassari atalindwa na Morani wangapi?
sa haya ya kulinda mtu ambaye hata si mgombea ndio siyaelewi kabisa!! why is this guy always surrounded with drama??