Mnalinda hewa? CDM hawataambulia kitu, hivyo hakuna cha kulinda hapa. Msijifiche kwa aibu matokeo yatakapotangazwa. Itakuwa zaidi ya Igunga. Mnacheza na CCM???? SUBIRINI KILIO.
Hapa umeonyesha upeo wako wa kufikiri umefikia wapi.
Mnalinda hewa? CDM hawataambulia kitu, hivyo hakuna cha kulinda hapa. Msijifiche kwa aibu matokeo yatakapotangazwa. Itakuwa zaidi ya Igunga. Mnacheza na CCM???? SUBIRINI KILIO.
Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Mkuu hatuwezi kusema wote ni CDM.Ila wameru wameshaamua mbunge wao ni Joshua Nassari
Mbona somo la Tarime lilieleweka vizuri tu labda nyie hamkulielewa kinachofanyika sasa ni implementation.Kwa nini Lema pamoja na viongozi wa Chadema wasiombe ulinzi kutoka jeshi la polisi, kwa usalama na mustakabali wa nchi yetu tujiepushe vita vya kikabila ambavyo vitatupeleka pabaya, sio vizuri kulindwa na walinzi wa jadi, tujifunze kutoka Tarime.
Sio tena baada ya uchaguzi mje humu Jamvini muanze kusema tumeibiwa kura na Lowassa.
Kwa hiyo unataka kutuambia Wameru wote ni Chadema?
Sio tena baada ya uchaguzi mje humu Jamvini muanze kusema tumeibiwa kura na Lowassa.
alikosea nini?
mwenye huo uzi.
ritz anafikiri wale jamaa wa ubwabwa waliokuwa wanatoa matamko igunga watakuwepo arumeru...!Mkuu wangu Wameru ni tofauti sana na Igunga na Uzini.nadhani umenielewa mkuu wangu
Tena kwa usalama polisi wasijaribu kufyatua hata bomu moja kwa vijana wa kimeru. Nawajua na nimeishi huko najua wanavyopenda kesi (mtabisha) lakini ndiyo hulka yao, mtu anayejua maeneo ya USA river, Maji ya Chai, Kikatiti, Mbuguni hatabisha. Dili nyingi zinazochorwa hasa za wizi, ujambazi unapangwa huko, mapango ya kufichia gari za wizi yako milima ya meru midizini. Kama ni silaha za moto huko ndiko nyumbani kwake na kwa taarifa tu polisi ndio wanaotoa hizo silaha kwa hao vijana, kama ni ubabe nawaonya vijana wa green guard wawe wapole wasifikiri vijana wa meru sawa na wa Igunga waliokuwa wanawapiga makofi na kuwapakia kwenye magari yao. Ni tahadhali tu kwagreen guard na vyombo vya dola kwa sisi tunavyolijua hili jimbo.Ujue kuwa pia Polisi wakitumia za moto hata huko ziko za kumwaga! Nawashauri Ndg na Kaka zetu Polisi, kwa hili la Meru wasikubali kupeleka msiba makwao, wawe tu wapole watafikisha miaka mingi kidogo, ila wakijifanya akina Schwarzenegger watashangaa kitakachokuwa.
Hamkumbiki Bwana mmoja alienda kuomba uhuru wa Wameru? inaweza ikawa ndiyo sasa tunaupata:A S embarassed:
Tena kwa usalama polisi wasijaribu kufyatua hata bomu moja kwa vijana wa kimeru. Nawajua na nimeishi huko najua wanavyopenda kesi (mtabisha) lakini ndiyo hulka yao, mtu anayejua maeneo ya USA river, Maji ya Chai, Kikatiti, Mbuguni hatabisha. Dili nyingi zinazochorwa hasa za wizi, ujambazi unapangwa huko, mapango ya kufichia gari za wizi yako milima ya meru midizini. Kama ni silaha za moto huko ndiko nyumbani kwake na kwa taarifa tu polisi ndio wanaotoa hizo silaha kwa hao vijana, kama ni ubabe nawaonya vijana wa green guard wawe wapole wasifikiri vijana wa meru sawa na wa Igunga waliokuwa wanawapiga makofi na kuwapakia kwenye magari yao. Ni tahadhali tu kwagreen guard na vyombo vya dola kwa sisi tunavyolijua hili jimbo.
Kamuulize UVCCM pwani je watu wa kazikazini ni wote chadema? au muulize nape eti wachaga wote ni chadema, Ni kweli kuwa yeye hawezi kujiunga chama chenye wachaga wengi..Kwa hiyo unataka kutuambia Wameru wote ni Chadema?