Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,937
- 1,192
NAOMBENI NITOE ANGALIZO,kama anaeratibu ulinzi huo ni mtu aitwae Yohana kimuto mstaafu wa polisi basi green guard ama serikali msipite anga izo,huyu bwana ana historia ya kuhamasisha demostration mbalimbali huko meru na ndo aliongoza uvamizi ktk mashamba ya SADC.kama ni kimuto Lema upo salama meru,huyu ni balaa
Dots connected!