Kwa hiyo unataka kutuambia Wameru wote ni Chadema?
Si ndiyo? hao uliowaona ccm sidhani kama ni Wameru maana hakuna mmeru anayekubali kununuliwa! pia hakuna mmeru mwanaume anayetoga masikio
Kwa hiyo unataka kutuambia Wameru wote ni Chadema?
Msitake kutishia Watu nyie,wameru labda miaka ya zamani ndio walikuwa wanawababaisha wanakijiji wenzao,hawana lolote. Nyie ngojeni madume ya CCM yatue huko Kama hao morani went hawakushikishwa ukuta. Hi ndio tatizo la JF,Watu wana mkwara babu kubwa wakati hakuna lolote.
nafikiri sio hao labda walioua wafanyabiashara wa madini wa mahengehao walioua watu kule Songea au ni wengine? HATUWATAKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!
Acha uongo!Si ndiyo? hao uliowaona ccm sidhani kama ni Wameru maana hakuna mmeru anayekubali kununuliwa! pia hakuna mmeru mwanaume anayetoga masikio:A S embarassed:
Anaenda Meru kufanya nini wakati mwaka wa pili unaisha bila kufanya chochote jimbo la Arusha?
Katoa maoni? Kaleta habari? Kaandika risala? kapiga gumzo? Au yote ni sawa?