Kamanda Lema ndani ya Arumeru

Kamanda Lema ndani ya Arumeru

Hivi Lema ndio anae gombea ubunge? mbona sifa za ghafla.
 
A leader MUST be in front of subordnates! Twende kamanda hii kama ni nchi huru pita popote onyesha njia.
 
Sasa kama Tendwa ni mnafik basi kwanini Lema amewekewa hao walinzi njaa? Au ndio wanaogopa asije pigwa lile dole?
 
kapiga gumzo,na wewe lete ya mbunge wako Steven wassira na Juma njwayo

Steven Wasira ni jitu lenye miraba minne, linalotisha kwa sura na katika medani za kisiasa. Ni jitu lenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja za nguvu zenye kueleweka na zaidi ubongo wake una uwezo wa kupakia hadi GB 800,000.
 
Kweli tupo aisee ....

wasira.jpg


Steven Wasira ni jitu lenye miraba minne, linalotisha kwa sura na katika medani za kisiasa. Ni jitu lenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja za nguvu zenye kueleweka na zaidi ubongo wake una uwezo wa kupakia hadi GB 800,000.
 
Steven Wasira ni jitu lenye miraba minne, linalotisha kwa sura na katika medani za kisiasa. Ni jitu lenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja za nguvu zenye kueleweka na zaidi ubongo wake una uwezo wa kupakia hadi GB 800,000.

gb 800,000 anazobeba wasira ktk ubongo ni usingizi na hasira mkuu
 
One man team in Arusha

SIO KWELI.... ni kikundi kidogo sana cha JF member wanaojaribu kwa kila namna sijui kwa kulipwa au bure kuondoa hata maana ya political party hieararchy and system to focus on one person. CDM has a system na kuna viongozi wanaofanya kazi usiku na mchana kuweka chama vyema, but a few lunatics tend to think every political step made is like watching simba na yanga game

this will ruin [or rather dent] progress towards democracy ya kweli, hasa kama democracy inakua linked na fanaticism and lunatic deeds!! (angalizo Lema sio lunatic bali ana followers walio lunatics).

Maybe ni kampeni za ndani ya chama

A few wouldnt understand, it is ok.... what matters is to deliver right message for those who want changes.... we have good case studies from arabian wave
 
Steven Wasira ni jitu lenye miraba minne, linalotisha kwa sura na katika medani za kisiasa. Ni jitu lenye uwezo mkubwa katika kujenga hoja za nguvu zenye kueleweka na zaidi ubongo wake una uwezo wa kupakia hadi GB 800,000.
Wasira mwenyewe ndo huyu hapa!
 

Attachments

  • Face-001.jpg
    Face-001.jpg
    2.2 KB · Views: 321
Back
Top Bottom