K Kamundu Platinum Member Joined Nov 22, 2006 Posts 9,268 Reaction score 13,895 Oct 1, 2025 #1 Kama vyombo vya usalama vitaruhuru familia nne zitawale watanzania milion 65 ! Tatizo ni uzalendo. Tuna vyombo vya machawa sio vyombo vya usalama . familia hizo ni Mwinyi Samia Kikwete
Kama vyombo vya usalama vitaruhuru familia nne zitawale watanzania milion 65 ! Tatizo ni uzalendo. Tuna vyombo vya machawa sio vyombo vya usalama . familia hizo ni Mwinyi Samia Kikwete
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,734 Reaction score 118,637 Oct 1, 2025 #2 Hapa nguvu ya umma tu inatakiwa iamke kutoka usingizini, na hivyo kuanza kupambania raslimali za nchi ili ziwanufaishe wananchi walio wengi.
Hapa nguvu ya umma tu inatakiwa iamke kutoka usingizini, na hivyo kuanza kupambania raslimali za nchi ili ziwanufaishe wananchi walio wengi.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 359,869 Reaction score 828,401 Oct 1, 2025 #3 Money talk..! Penye udhia penyeza rupia
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,508 Reaction score 18,667 Oct 1, 2025 #4 Sisi Kama wananchi tuna wajibu wa kufanya jambo kwa manufaa yetu wote na kwa taifa kwa ujumla.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,585 Oct 1, 2025 #5 Muda utaongea... Cc: Mahondaw