Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Unawadanganya mabinti na upuuzi wako...hizo zote hakuna sabb hata moja ya kumvuta mume wa ndoa...
Wewe binti kama waitaji mume muombe sana Mungu kwa imani yako,,achana na hivo vigezo hapo..
Ingekua hivyo. Watu wote tungejifungia nyumbani na kumuomba mungu atuletee chakula na utajiri...
KUMBUKA. Mungu mwenyewe alisema kupitia maandiko yake Jisaideni nami nitawasaidia
 
Ingekua hivyo. Watu wote tungejifungia nyumbani na kumuomba mungu atuletee chakula na utajiri...
KUMBUKA. Mungu mwenyewe alisema kupitia maandiko yake Jisaideni nami nitawasaidia
Hill andiko umelitoa kitabu gani...acha upotoshaji ww utakuja ulizwa uoneshe unapotoa maandiko yako afu ushindwe...

Afu acha kuchanganya suala LA kupata mke/Mme na suala LA kupata chakula na Mali..kila kitu kina kanuni sake na zimeainishwa vizur kwenye biblia...suala LA ndoa kanun in moja tu lazma upige magot umwombe Mungu wako nothing more!!!!
 
Mwanamke 1: Mwalimu nifanye nini nipate kuolewa?
JokaJeusi: Waijua sheria
Mwanamke 1: Nimeishika tokea nikiwa bint mdogo.
JokaJeusi: Umefanya vyema. Fanya niliyokuamuru nawe utaolewa.

Acha mbwembwe Wanaume wamebadilika.
Wanaume wamebadilika wanawake pia webadilika mkuu
Kwa sasa ndoa sio must ni option tu
 
Hill andiko umelitoa kitabu gani...acha upotoshaji ww utakuja ulizwa uoneshe unapotoa maandiko yako afu ushindwe...

Afu acha kuchanganya suala LA kupata mke/Mme na suala LA kupata chakula na Mali..kila kitu kina kanuni sake na zimeainishwa vizur kwenye biblia...suala LA ndoa kanun in moja tu lazma upige magot umwombe Mungu wako nothing more!!!!
Kabla hujaenda kumuomba mungu lazima ujitathimini mwenyewe, we huna tabia nzuri,mvivu, upo hovyo hovyo alafu ndio upige goti umuombe Mungu akusaidie , huyo sio mungu ninaye mjua mimi ni sawa na mwanafunzi asiyewekeza mda wake kusoma, alafu uende mbele za Mungu akusaidie kufaulu hapo lazima ufeli. Jitathimini mwenyewe, jirekebishe ww mwenyewe, alafu piga goti umuombe Mungu atakusaidia lkn from nowhere unapiga goti wakati tabia zako mbovu, usitegemee kabisa kama atakusaidia.
 
Mwanamke mjanja akisoma aya ya 1 na ya 2 atakuelewa zaidi.

Wanawake wengi hushindwa kujua namna ya kupenda.

Wengi wakishaambiwa neno "Nakupenda" , basi; hujua na kuamini jukumu la kupenda liko kwa mwanaume pekee.

Pia wakumbushe, mapenzi ni kama kamali kwa sasa kama kamali zingine tu.
Kuna kupata na kukosa.

Ukiomba kwa Mungu upate mume utapata, ukiomba upate mabwana utawapata pia.
 
Mkuu kuna wadudu anatafuna ndoa(talaka) na ugomvi wa wanandoa usioisha cjui huyu mdudu unawasaidiaje mkuu


Maandiko yapo uchi kabisa, Mwanamke mpumbavu huharibu nyumba yake kwa mikono miwiili.
 
Unawadanganya mabinti na upuuzi wako...hizo zote hakuna sabb hata moja ya kumvuta mume wa ndoa...
Wewe binti kama waitaji mume muombe sana Mungu kwa imani yako,,achana na hivo vigezo hapo..


Soma Bible wewe acha ukichaa, Biblia inasemaje kuhusu sifa ya mke mwema. Mungu unadhani ni simple ukimuomba tuu anakupa. Soma maandiko Mkuu.
 
Itabidi na wewe uwe smart kichwani, kama na wewe uko vizuri kichwani umtangundua kupitia matamshi yake na mpangilio wa hoja zake, mahadhi yake ya sauti, mwitikio wa kile unachomwambia, jinsi anavyotazama, "body language" (hivyo ni kwa uchache tu) la sivyo utaingia chaka maana atakulaghai na utalaghaika.

Maneno hayatoshi kumpima mtu smart, matendo ndio kila kitu. Afanye kazi na maneno yake yatathibitika
 
Kabla hujaenda kumuomba mungu lazima ujitathimini mwenyewe, we huna tabia nzuri,mvivu, upo hovyo hovyo alafu ndio upige goti umuombe Mungu akusaidie , huyo sio mungu ninaye mjua mimi ni sawa na mwanafunzi asiyewekeza mda wake kusoma, alafu uende mbele za Mungu akusaidie kufaulu hapo lazima ufeli. Jitathimini mwenyewe, jirekebishe ww mwenyewe, alafu piga goti umuombe Mungu atakusaidia lkn from nowhere unapiga goti wakati tabia zako mbovu, usitegemee kabisa kama atakusaidia.


Huyo anadhani Mungu ni Babu yake, eti ukimuomba tuu akupe. Watu wengine akili zao ni zakuonea huruma. Ikiwa Rais tuu huwezi muomba kienyeji akakupa bila kujiridhisha sembuse Mungu.
 
Mwanamke mjanja akisoma aya ya 1 na ya 2 atakuelewa zaidi.

Wanawake wengi hushindwa kujua namna ya kupenda.

Wengi wakishaambiwa neno "Nakupenda" , basi; hujua na kuamini jukumu la kupenda liko kwa mwanaume pekee.

Pia wakumbushe, mapenzi ni kama kamali kwa sasa kama kamali zingine tu.
Kuna kupata na kukosa.

Ukiomba kwa Mungu upate mume utapata, ukiomba upate mabwana utawapata pia.


Na Mungu humpa mtu kulingana na wanavyoendana. Huwezi kuwa livivu ukapewa mtu mchapakazi. Ndege wafananao
 
Ingekua hivyo. Watu wote tungejifungia nyumbani na kumuomba mungu atuletee chakula na utajiri...
KUMBUKA. Mungu mwenyewe alisema kupitia maandiko yake Jisaideni nami nitawasaidia


Uelewa wake ni mdogo.
 
Hill andiko umelitoa kitabu gani...acha upotoshaji ww utakuja ulizwa uoneshe unapotoa maandiko yako afu ushindwe...

Afu acha kuchanganya suala LA kupata mke/Mme na suala LA kupata chakula na Mali..kila kitu kina kanuni sake na zimeainishwa vizur kwenye biblia...suala LA ndoa kanun in moja tu lazma upige magot umwombe Mungu wako nothing more!!!!


Uelewa wako ni mdogo Mkuu samahani lakini. Kila unachokiona hapa duniani lazima umuombe Mungu akupe kibali cha kukitumia. Sio mke, chakula, mavazi n.k. Vitu vyote ni mali ya Mungu. Soma Biblia utaona manabii walipataje wake zao na sio kuleta porojo zako hapa. Mtafute Nabii Ibrahimu, Isaka, Yakobo n.k. Waangalie walitumia vigezo gani kupata wenza wao.

Njoo kwa Waislamu, Muangalie Bi. Khadija alitumia kigezo gani kutaka Mtume Muhamad (S.A,W) awe mume wake.

Kanuni ni Omba, Tafuta, Bisha.

Ukibisha uwe na hoja sio kujivua nguo
 
ngoja siku uparalyze ghafla au upewe redundancy,ndio utajua kazi sio kipimo cha utu

Afadhali umekuja mwenyewe. Hivi ukiparalyze afu mumeo/mkeo ni goigoi hajui kufanya kazi unadhani familia itaishia wapi kama sio kuparanganyika. Unazungumzia Kuparalyze umesahau kuna kufa ambayo ndio top. Kazi ni kipimo cha utu. Hata sheria zinasema.

Fanya kazi siku zita siku ya saba pumzika. Unadhani kwa nini umeambiwa ufanye siku zote hizo na ukapewa siku moja tuu ya kupumzika? Je Yesu anaposema asiyefanya kazi na asile akili yako inakupa tafsiri gani ya lengo la maisha? Je mtu asipokula ataweza kuishi kwa mrengo wa kimwili?

Kama unauelewa mkubwa hutoshindwa kuelewa jambo dogo kama hili.
 
Back
Top Bottom