DahNi naona kilio cha wanawake wasio na hela, wasio na kazi na wala hawavutii ni kikubwa sana
DahNi naona kilio cha wanawake wasio na hela, wasio na kazi na wala hawavutii ni kikubwa sana
We unajua na unajitambua eti oooh sijui mwanamke amnunulie bwanake msosi Mara ampe hela Mara vile ....msiiiiieeew hivi ni vigezo vya wanaume mburula tu
Endelea kuamini unachokiamini nimekwambia.......Walioolewa wanaelewa lakini wewe hujui ukisemacho. Usione wenzako wanaolewa wamehangaikia waume zao. Usipojipendekeza utaishia salooni tuu
Mwanamke hata uwe na vyote hivyo kama kichwani ni kilaza hizo sifa zote huwa hazidumu, zinapeperuka na makundi ya marafiki anaokutana nao kila siku
Sina huo mda Mimi ....kama ndoa wacha ipiteHapa sio kanisani nimekuambia Mkuu. Ni ithibati tuu. Mwandiko wako haukufichi ulivyo. Pole sana Dada yang. Fuata ushauri utapata wakukusitiri.
Sina huo mda Mimi ....kama ndoa wacha ipite
We katoto si ulisema unaenda shule lakini?Sihongi na wala sijipendekezi kwa mwanaume.
Mtakuja tu mbona kabisa .
Ila kuheshimu mwanaume lazima umuheshimu kabisa ukitaka ndoa ikae kwa amani heshimianeni kunatofauti ya mke na mchepuko.
Halafu umpende mwanaume wako mfanye kuwa special ila usimwogope.
Akikosa mpe makavu tu kama kawaida usimcheleshe.
Olewa na mtu unayemuelewa naumemzoea.
Kuolewa ni lazima ili ujue unamajukumu fulani unategemewa kuna uzuri wakuitwa mama joshua mama musa kuliko kuitwa katoto kazuri.
Kuolewa kukaa ndani sio ishu kuwa nakazi ndio inshu kabisa.
Sihongi na wala sijipendekezi kwa mwanaume.
Mtakuja tu mbona kabisa .
Ila kuheshimu mwanaume lazima umuheshimu kabisa ukitaka ndoa ikae kwa amani heshimianeni kunatofauti ya mke na mchepuko.
Halafu umpende mwanaume wako mfanye kuwa special ila usimwogope.
Akikosa mpe makavu tu kama kawaida usimcheleshe.
Olewa na mtu unayemuelewa naumemzoea.
Kuolewa ni lazima ili ujue unamajukumu fulani unategemewa kuna uzuri wakuitwa mama joshua mama musa kuliko kuitwa katoto kazuri.
Kuolewa kukaa ndani sio ishu kuwa nakazi ndio inshu kabisa.
Haya maisha yaacheni tuu.
Mtu hana mvuto
hana elimu
hana ajira
hana kazi
hana tabia njema
hana akili
Anachoringia ni papuchi. Alafu anategemea kuolewa.
Mistari miwili ya mwisho imekamilisha kila kitu, ahsante mpenzi wangu sikuwa na vyote hivo ila akanchagua katika wasomi aliokutana, akanchagua ktk wazuri wa wazuri wakati mwingine hata huwa namuuliza uko proud na mie ananjibu sana, nakupenda sana najua utasoma hapa nakupenda.
Nachoweza sema mapenzi ndoa hakunaga formula bwana, huchanua popote.
Yah sure asee.Hakuna mbinu universal mkuu. Kila mtu anajitengenezea za kwake kulingana na mahitaji yake!
A man with dreams, needs a woman with character!
Kuna jamaa anaitwa Behaviourist yeye anataka Chura tu. Bila chura haelewi kitu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tunatofautiana mahitaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake msibishie hilo andiko,mtakufa!