Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Kwa hiyo perception ya kutaka demu wako akuhonge wewe na mama yako sababu anataka ndoa.
Basi maisha yako ni magumu zaidi ya huyu mdau hapa juu


Maisha hayajawahi kuwa magumu na kamwe hayatakuwa magumu. Niishie hapo.
 
Wanaume wamebadilika wanawake pia webadilika mkuu
Kwa sasa ndoa sio must ni option tu


Kuna mambo hayabadiliki Mkuu. Hiyo unayozungumza ni porojo tuu za kitaa. Ila embu isikilize nafsi yako ndio itakuambia ukweli. Je ni kweli kwako ndoa ni option au baada ya kukosa mtu ndio umeona hivyo?
Kama ndoa ni option je Amri ya usizini imepitwa na wakati hivyo watu wazaane kama mbwa tuu bila ndoa?
Usisikilize watu wanasemaje. sikiliza Mungu anasema nini, na nafsi yako inaelewa nini.
 
Kuna mambo hayabadiliki Mkuu. Hiyo unayozungumza ni porojo tuu za kitaa. Ila embu isikilize nafsi yako ndio itakuambia ukweli. Je ni kweli kwako ndoa ni option au baada ya kukosa mtu ndio umeona hivyo?
Kama ndoa ni option je Amri ya usizini imepitwa na wakati hivyo watu wazaane kama mbwa tuu bila ndoa?
Usisikilize watu wanasemaje. sikiliza Mungu anasema nini, na nafsi yako inaelewa nini.
[emoji1] [emoji1] akirudi kujibu nitag. Tatizo hawa wanakaa wanasikiliza ndo kungwi sijui wanajazana ujinga tu eti ndoa ni option, hakuna hata mwanamke mmoja asietamani ndoa hio option huwa inakuja baada ya kuruka ruka ukatumiwa ukagonga miaka ya kuanza kuwa bibi ndo huo msemo unakuja lakini na majuto ndani yake.
 
Ningefurahi mwingine angeibuka na mada ya wanaume kuchepuka ni lazima kilichopo ni heshima tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Uelewa wako ni mdogo Mkuu samahani lakini. Kila unachokiona hapa duniani lazima umuombe Mungu akupe kibali cha kukitumia. Sio mke, chakula, mavazi n.k. Vitu vyote ni mali ya Mungu. Soma Biblia utaona manabii walipataje wake zao na sio kuleta porojo zako hapa. Mtafute Nabii Ibrahimu, Isaka, Yakobo n.k. Waangalie walitumia vigezo gani kupata wenza wao.

Njoo kwa Waislamu, Muangalie Bi. Khadija alitumia kigezo gani kutaka Mtume Muhamad (S.A,W) awe mume wake.

Kanuni ni Omba, Tafuta, Bisha.

Ukibisha uwe na hoja sio kujivua nguo
Siwezi tumia akili nyingi kuleta hoja wakati umeleta maada ya kipumbavu kabisa. Na kwa sabb umeandika upumbavu hvo sharti ujibiwe sawasawa na upumbavu wako..



Nimekwambia lete hvo vifungu vya bible au Quran vinavyoainisha mwanamke akitaka mume amuonge..ajipendekezee..sijui amtumie picha za uchi na upuuzi mwengine ulioandika umeshindwa..

Lete hvo vifungu kwanza angalau ntatumia busara na akili kidogo kujibu ujinga wako...acha kutoka mapovu we lete vifungu hapa hadharan.
 
Wenye akili hawawezi kubisha watachukua hatua
Mwanamke Mwenye akili timamu na anaejua thaman yake hawezi zingatia ujinga huu ulioandika hapa eti amuonge mwanaume,kumtumia picha za uchi na uchafu mwengne ulioandika .....labda hao makahaba wasiojielewa wenye akili kama zako..
 
Afadhali umekuja mwenyewe. Hivi ukiparalyze afu mumeo/mkeo ni goigoi hajui kufanya kazi unadhani familia itaishia wapi kama sio kuparanganyika. Unazungumzia Kuparalyze umesahau kuna kufa ambayo ndio top. Kazi ni kipimo cha utu. Hata sheria zinasema.

Fanya kazi siku zita siku ya saba pumzika. Unadhani kwa nini umeambiwa ufanye siku zote hizo na ukapewa siku moja tuu ya kupumzika? Je Yesu anaposema asiyefanya kazi na asile akili yako inakupa tafsiri gani ya lengo la maisha? Je mtu asipokula ataweza kuishi kwa mrengo wa kimwili?

Kama unauelewa mkubwa hutoshindwa kuelewa jambo dogo kama hili.

nilikua namaanisha mkeo akiparalyze na kushindwa kuchangia hilo pato,what will you do?? utatafuta mke mwingine ambaye ana kazi???
 
nilikua namaanisha mkeo akiparalyze na kushindwa kuchangia hilo pato,what will you do?? utatafuta mke mwingine ambaye ana kazi???


Sasa hapo si ipo wazi kabisa. Mbona sioni swali kwa akili hata ya chekechea
 
[emoji1] [emoji1] akirudi kujibu nitag. Tatizo hawa wanakaa wanasikiliza ndo kungwi sijui wanajazana ujinga tu eti ndoa ni option, hakuna hata mwanamke mmoja asietamani ndoa hio option huwa inakuja baada ya kuruka ruka ukatumiwa ukagonga miaka ya kuanza kuwa bibi ndo huo msemo unakuja lakini na majuto ndani yake.


Ni wakuwasaidia tuu Mkuu
 
Ningefurahi mwingine angeibuka na mada ya wanaume kuchepuka ni lazima kilichopo ni heshima tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Kuazimisha uovu si jambo jema
 
Back
Top Bottom