Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Siwezi tumia akili nyingi kuleta hoja wakati umeleta maada ya kipumbavu kabisa. Na kwa sabb umeandika upumbavu hvo sharti ujibiwe sawasawa na upumbavu wako..



Nimekwambia lete hvo vifungu vya bible au Quran vinavyoainisha mwanamke akitaka mume amuonge..ajipendekezee..sijui amtumie picha za uchi na upuuzi mwengine ulioandika umeshindwa..

Lete hvo vifungu kwanza angalau ntatumia busara na akili kidogo kujibu ujinga wako...acha kutoka mapovu we lete vifungu hapa hadharan.


Ukisoma uwe unaelewa lengo la mada. Kubishana na mtu mwenye elimu ndogo alafu anajifanya anajua ni bora umuache tuu. Baki na uelewa wako
 
Mwanamke Mwenye akili timamu na anaejua thaman yake hawezi zingatia ujinga huu ulioandika hapa eti amuonge mwanaume,kumtumia picha za uchi na uchafu mwengne ulioandika .....labda hao makahaba wasiojielewa wenye akili kama zako..


Ukikua utaelewa, endelea kutafuta kazi maana naona nabishana na mtu ambaye hajui mwelekeo wa maisha yake sembuse wa ulimwengu
 
Ukikosea ukampa tigo ndio mchezo umeishia hapo hapo utakuwa mchepuko mpaka uingie kabirini

Na kama ulishaliwa 0713.... Sahau habar ya kuolewa tena
 
Mbona hizi ni kama mbinu za kupata mario na matozi.....

Mwanaume wa kweli hatafutwi hivi
 
Ukikosea ukampa tigo ndio mchezo umeishia hapo hapo utakuwa mchepuko mpaka uingie kabirini

Na kama ulishaliwa 0713.... Sahau habar ya kuolewa tena


Sheria za Mungu ni costant mkuu
 
Mbona hizi ni kama mbinu za kupata mario na matozi.....

Mwanaume wa kweli hatafutwi hivi


Matajiri karibu wote ni mario usitake kuniuliza kivipi? Bila mwanamke hakuna mwanaume tajiri.
Huwezi hustle mwenyewe ukipata utajiri utaishia kuwa mvuja jasho tuu wakawaida na mtumishi wa umma
 
Back
Top Bottom