Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Alafu unakuta wapiga mizinga hatareeee,, kila saa naomba, naomba haziishi,,, ukweli mwanamke wa hivi hata salam hapati


Mwenye nacho anaongezewa asiyenacho hata kile kidogo hunyang'anywa - Yesu mnazarayo
 
Wanaokesha micktin au makanisani ni walio desperate okay put that into your head


Kanuni ni hizo Mkuu, kwenda kanisani au msikitini utapoteza time yako tuu. Hata wewe kuna age ukifika utajikuta upo church/ msikitini ni ishu ya muda tu
 
Hilo LA kujipendekeza Na kuhonga mmmh. Mimi namtafuta mwanaume wangu kwa sababu naona Furaha kumtafuta sio kumjaza anipe ndoa. Kwahiyo ndoa ikishapatikana tunaacha kufanya hayo mashinikizo tunarudi kwenye uhalisia eeh?


Mkuu, jambo lolote ulitakalo sharti ujipendekeze. Sio tuu ndoa, sio pesa, sio siasa, sio imani. Kujipendekeza ni moja ya kanuni muhimu katika kufikia malengo. Ukijifanya huna shobo hapo ndipo unaumia. Muulize MO, Bashite, Diamond n.k.

Kujipendekeza kwa mwanamke sharti kuwe endelevu, hata kwenye maisha lazima ujipendekeze. Vinginevyo maslahi yaishe ndipo nawe uache. Kama unauelewa mkubwa utakuwa umenielewa
 
olewa/oa na mtu anayekupa furaha,ukiwa nae una Amani,

uking'ang'ania vitu vingine vitapotea,

shepu ukizaa watoto wawili watatu shepu kwishney labda uwe mtu wa discipline,mazoezi kidogo

..kama ni pesa,mke/mume wako anaweza kupata redundancy au ugonjwa ukampata akashindwa kutimiza majukumu yake,utamwacha???...

Kama ni sex,we as humans tuna limited cycle ya reproduction period,je outside this period,uta cheat??

ndio maana ndoa nyingi hazina Amani,

sababu mli act kwenye uchumba,

in reality mmekuta mambo sio kama mlivyotarajia,

huwezi ku fake kwa mtu unayelala nae,unaamka nae

kuwa na mtu ambae uko CONFIDENT kuwa anakusikiliza,mna maelewano,akikuudhi anajua,ukimuudhi unajua

hapo mtasikilizana mpaka uzeeni,

wengi hawajui kitu muhimu ni MAWASILIANO,


Umeongea hoja zenye mashiko. Mwenye akili atakuelewa lakini yote juu ya yote Kazi ndio kila kitu kwa huu ulimwengu. Kazi ni utu. Utake usitake.
 
Ongeza na hii wahakikishe hawarubuniwi na wanaume wengine maana pale tunapoona Pana dalili za kukosekana uaminifu kuwaacha ni sekunde


Kweli kabisa, siku hizi hizi simu na maisha kuwa magumu kumewafanya wanawake wajivue nguo
 
Mistari miwili ya mwisho imekamilisha kila kitu, ahsante mpenzi wangu sikuwa na vyote hivo ila akanchagua katika wasomi aliokutana, akanchagua ktk wazuri wa wazuri wakati mwingine hata huwa namuuliza uko proud na mie ananjibu sana, nakupenda sana najua utasoma hapa nakupenda.
Nachoweza sema mapenzi ndoa hakunaga formula bwana, huchanua popote.


Sasa ufuate hizo kanuni hapo juu familia iwe na nguvu kiuchumi. Sio kuchekelea ndoa tuu. Ndoa ni sehemu ya kupata mafanikio na utajiri mkubwa. Ndoa ni baraka hasa ukifuata nilichokiandika
 
Mh! Maybe pana ka ukweli kidogo hapa ila mh!!!!hizo mbinu.


Huo ndio ukweli mkuu. Vinginevyo utaishia kuolewa na wanaume wasiojielewa na kuzaa familia masikini na ukoo wa kimasikini. Mada yangu ina mrengo wa kiuchumi zaidi.
 
Huna kazi wala hujishuhulishi utaishia kuchezewa tuu.

Huna ajira
Huna elimu
Huna kazi
Huna chura
Huna tabia njema
Huna akili
Huna uzuri wowote.

Ulichonacho ni Papuchi nani atakuoa? Unadhani ndoa ni papuchi?
Hivi chura ni nini ba ndugu? Kuuliza sio ujinga nimaachwa mahala!
 
Mapenzi it's all about priorities, wakati wewe unadata na hiki mwenzio anadata na kile, mbaya zaidi love is blind sometimes hasa pale unapokutana na kile unachokipenda zaidi (mfano labda unapenda chura halafu ukamkuta mwenye nayo) hivyo vigezo vingine vya tabia n.k huwa havizingatiwi kwa walio wengi wetu ndo maana ndoa zetu nyingi huishia kuyumba kila siku kama sio kuvunjika kabisa!!!
 
Mapenzi it's all about priorities, wakati wewe unadata na hiki mwenzio anadata na kile, mbaya zaidi love is blind sometimes hasa pale unapokutana na kile unachokipenda zaidi (mfano labda unapenda chura halafu ukamkuta mwenye nayo) hivyo vigezo vingine vya tabia n.k huwa havizingatiwi kwa walio wengi wetu ndo maana ndoa zetu nyingi huishia kuyumba kila siku kama sio kuvunjika kabisa!!!


Kweli Mkuu, hapa nilichozungumzia ni ndoa haswa, ndoa ya mpaka kifo sio hiyo mikataba ya mapenzi. Unafunga leo unaacha kesho au miaka kumi. Kanuni tajwa hapo ni kila kitu kwenye ndoa
 
Mkuu, jambo lolote ulitakalo sharti ujipendekeze. Sio tuu ndoa, sio pesa, sio siasa, sio imani. Kujipendekeza ni moja ya kanuni muhimu katika kufikia malengo. Ukijifanya huna shobo hapo ndipo unaumia. Muulize MO, Bashite, Diamond n.k.

Kujipendekeza kwa mwanamke sharti kuwe endelevu, hata kwenye maisha lazima ujipendekeze. Vinginevyo maslahi yaishe ndipo nawe uache. Kama unauelewa mkubwa utakuwa umenielewa
Naweza kujipendekeza kwenye pesa tu sio kwenye mapenzi. Yani nijipendekeze kisa ndoa?
 
Back
Top Bottom