RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,603
- 8,552
Wapigwe Tu Tumechoka Ndoana Bila ChamboSoon tutasikia 'yalaaaaah'
"Yalaaaah" ya nini tena mkuu?.Soon tutasikia 'yalaaaaah'
Kwamba ni "wela" list ya hayo makampuni?. Lengo la uzi nikuhimiza tutunze afya zetu kama tunahitaji kupata kazi kwenye international companies. Kuyajua ingia gugo andika list of "International companies oparate in Tanzania ". Au nenda kituo cha uwekezaji Tanzania uombe list ya international companies zinazofanya kazi Tanzania watakusaidia.Wela list ya hayo makampuni hapa
Wanapima mpaka mkojo kuangalia kama unatumia madawa ya kulevya.mgodini GGM KAMA UNAVUTA BANGI KAZI UPATI
This is very true, kampuni za nje wengi wanawapima watu wao wanaotaka kuwaajiri ila wengi hua wana aim sana hapo kwenye ngoma.Utapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao.
Aisee tutunze afya zetu.
Soon tutasikia 'yalaaaaah'
Za CCM Ni Kadi TuWAJIPIME WENYEWE TUTASUBIRIA AJIRA ZA CCM KAMA NI HIVYO
"mlango wakuzimu ni upi mkuu"?.Wanapima na "mlango wa kuzimu"
Chukua kadi ya CCM niajira tosha.WAJIPIME WENYEWE TUTASUBIRIA AJIRA ZA CCM KAMA NI HIVYO
Mbona mi navuta na nipohapamgodini GGM KAMA UNAVUTA BANGI KAZI UPATI
Ndio maana najitunza sana, one day I will be paid more than that I thinkUtapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao.
Aisee tutunze afya zetu.
Sawa mtaniChukua kadi ya CCM niajira tosha.
Life halitabiriki...muombe Mungu tu...akutunze.....sio kwa nguvu zako za kibinadamuNdio maana najitunza sana, one day I will be paid more than that I think
Kama una mojawapo ya hayo magonjwa hawakuajiri?Utapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao.
Aisee tutunze afya zetu.