STUKA M1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,411
- 7,004
Kawaida tu mkuuPole mkuu! Naona unatia huruma kweli kweli
Kawaida tu mkuuPole mkuu! Naona unatia huruma kweli kweli
Daaah! Omba usioane na mwanamke Malaya , utajuta!Imagine wewe ni mtangazaji unafanya kazi kituo cha redio halafu unaingia saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi,yani watu watakuwa wanakubonyezea huku wakiwa wanakusikiliza ukitangaza.
Ww ni muhaya c bure!Hivi mbona wabinafsi hivo!kizur kula na mwenzio..hahah ukitaka wako muumbe tu!! Ila kupigiwa hakutaa kuishe
Inategemea na mazingira unayoishi pia
daaaaaaahKuna jamaa mmoja alimpeke mkwewe kwenye harusi, kadi ilikuwa single. Jamaa akabaki nje kumsubiria wife.
Mwanamke akaingilia mlango wa mbele, akatokea wa nyuma. Akachukua bajaji akaenda kwa mchepuko wake.
Akagongwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, alipomaliziwa haja zake akarudi kwenye ahrusi kuungana na wenzake.
baada ya harusi kwisha akarudi kwenye gari la Mumewe na kurudi mahome.
Hao ndo wanawake mazeeeeeeeeeeeeee.