Kama Unafanyakazi Za Shift Bora Usioe Kabisaa

Kama Unafanyakazi Za Shift Bora Usioe Kabisaa

Nikujibu tu kwamba solution ni kupiga show ya kibabe mpaka alalamike unamuumiza, yaani unahakikisha ile harufu ya papuchi inabadilika inatoa harufu ya Baruti
Duuh..! we noumaH mkuu... So haina shidA master si ndo vijana wa kazi kwa kwenda mbele
 
Unasemaje kuhusu distance marriage
47f81be4bdb46209925638af913b0330.jpg
 
Imagine wewe ni mtangazaji unafanya kazi kituo cha redio halafu unaingia saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi,yani watu watakuwa wanakubonyezea huku wakiwa wanakusikiliza ukitangaza.
Hahaha wewe jamaa mbaya sana
 
Imagine wewe ni mtangazaji unafanya kazi kituo cha redio halafu unaingia saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili asubuhi,yani watu watakuwa wanakubonyezea huku wakiwa wanakusikiliza ukitangaza.
napata wasiwasi inabidi nibadili shift niwe nalala nae home mchana ndio nakua ofisin
 
ndio mkuu ujue wewe unavyopiga wake wa wenzako na wewe lazima upigiwe mfumo uko hivyo
Tabia ya mwanamke kumvulia nguo kila mwanaume anaekuja mbele yake ni tabia yake binafsi ndivo alivo, anaona ni sawa kwake, hajui kwamba anamkosea Mungy, hajui kuna magonjwa ya ngono n.k ..kwamba kila mwanaume ana uhuru na mwili wake, the same applies kwa mwanaume pia,,,
 
Yaani mbona ni shift salama kabisa maana ntamtandika virungu viwili tu hataman kuto....m..b...Wa tena

Wanaume niwaibie siri hata kahaba huwa hataki afike kileleni maana yake akifika anachoka na hana ham ya ngono KBS

Ndo maana makahaba huwa wanataka kibao cha kwanza tu maana wanajua utampapasa tu kabla yeye kuzimuka umesha mwaga manyanga harafu anasubiri mwingine tayari mzuka umeshashuka akija anaanza moja

Yaani nawajuzu mwanamke akifuka kileleni vzr hana ham tena takriban zaidi ya siku tatu

Lkn ujue hivi vitotio vinavoshangilia kuchapiwa vitachapiwa balaa

Nakumbuka kiss kimoja cha jamaa mmoja ambaye alikuwa akimnyanyasa mke na kusema yy kidume anampata yeyote amtakaye aliendekea na tabia hii siku moja mke alimtolea uvivubalijiona mavi

Alianza kasheshe yake baada ya kukwa ruzana akamwambia kama wewe ni mwanaume usingefanya hivo yaani ww ni sawa na mwanamke tu

Akamwambia mm kidume aki ya nani akamtajia idadi ya madem mke akamwambia kama ungekikuwa mwanaume usuingeweza kunisindikiza kugongwa jamaa akasema aaah wapi mm huyu toa upuuzi wako

Akamwambia sikiliza nikuambie ww unayejifanya kidume kumbe hovyo
Akaendelea unakumbuka nilikuambia naumwa ukanipeleka Hosp akajibu eeee akamwambia hao ndo wanaume sio wewe maana ukinipeleka kugongwa nikakupaki nje nkagongwa fresh na hela ukalipa

Huyo ndo mwanaume anajua huwa ananifanya mpaka naona raha ya kuzaliwa mwanamke hapa nimeegesha tu kwako huna lolote


Nawaaasa ambao hamjaoa ukimbana mwanamke ndo anagongwa vzr sana huku Ukiwa umemsindikiza muache tu huru kama kuchapiwa utachapiwa gu
Kuna jamaa mmoja alimpeke mkwewe kwenye harusi, kadi ilikuwa single. Jamaa akabaki nje kumsubiria wife.
Mwanamke akaingilia mlango wa mbele, akatokea wa nyuma. Akachukua bajaji akaenda kwa mchepuko wake.
Akagongwa weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, alipomaliziwa haja zake akarudi kwenye ahrusi kuungana na wenzake.
baada ya harusi kwisha akarudi kwenye gari la Mumewe na kurudi mahome.
Hao ndo wanawake mazeeeeeeeeeeeeee.
 
Nawapa Tahadhari Mnaofanya Kazi Za Shift Haswa Shift Ile Ya Usiku Kama Umeoa Juakuwa Nyuma Huku Watu Wanabofya Kizenji Mkeo,nayasema Haya Kwakuwa Nina Uzoefu Na Haya Mambo


MWISHO: POLENI MADAKTARI,TANESCO,WALINZI,WATANGAZAJI,POLISI NA WANAJESHI
Yaan we jamaa,,,,,ukae tena ufikirie kama umeona huo ushauri unaotufaa,,,,tena watu wengi wenye shift hizo wake ZAO ni very faithful trustful,,,,,, jaribu tenaaaa
 
Nawapa Tahadhari Mnaofanya Kazi Za Shift Haswa Shift Ile Ya Usiku Kama Umeoa Juakuwa Nyuma Huku Watu Wanabofya Kizenji Mkeo,nayasema Haya Kwakuwa Nina Uzoefu Na Haya Mambo


MWISHO: POLENI MADAKTARI,TANESCO,WALINZI,WATANGAZAJI,POLISI NA WANAJESHI
Wazaramo mnawazaga ngono tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom