Kama una tabia hizi utazeeka nyumbani

Kama una tabia hizi utazeeka nyumbani

hahahahah hlf kuna uzi mmoja kuna mdada kakataa kutoa mpaka aolewe wengiwao wamemponda kumwambia utaolewaje bila kutoa game tujue yaliyomo yaamo... hlf tena unataka demu asiekua kicheche... wkt wooote mnataka kuonja kabla... humu kelele nyiiingi mnatakaje sasa... maana kila mmoja anataka kuonja ukicheche utakwepekaje
Tatizo mnajilengesha kwa watu ambao hawako serious, kisa umeona jamaa wa kishua lazima ujikute umeonjesha sana tu
 
Tatizo mnajilengesha kwa watu ambao hawako serious, kisa umeona jamaa wa kishua lazima ujikute umeonjesha sana tu
Mtu katongozwa dk mbili tu anasema haya bhana hakuna tatzo chukua namba tutawasiliana zaidi juu ya ombi lako. Wafaaaaa. Kumbe jamaa anatafta papuchi akapunguze kiherehere cha dushe lake
 
Junior Boss (Mleta Mada) [emoji23][emoji23]

Endelea kuwafunza yan umetoboa mule mule chief. Wamezidi sanaaa.....kuna wawili nawajua mmoja ana 35 years mwingine 36 ni warembo kweli.....bado wanasota kwa wazazi wao tu.....mpaka unashangaa mwanamke huyu anakosaje mtu wa maana.

Wamebaki kubutuliwa na kuwachwa....wadogo zao wa juzi tu wanatongozwa wanaolewa wana makwao wao bado wanahangaika tu.

Jamani mwenye masikio asikie na aelewe......its time baadhi ya wanawake wajifunze kuishi na wanaume. Wanaume hatupendi mwanamke headache, mwanamke mvivu asiyejituma, asiye na malengo, asiye mwenye maono ya mbali, asiyekua mvumilivu, asiyekua muelewa (yeye anakua anataka pesa tu siku ukimwambia umekosa hakuelewi, anakuona mseng*, life got ups and downs.

Mjifunze kuwa waelewa na wavumilivu, show ur man ur there for him during the good and bad, encourage and respect him, kaa nae chini at tyms kuwa mkali kwake kwa mambo ya maendeleo na kwa ustawi wa familia yenu (i.e. justified anger. I assure u kamwe hatoinua mkono wake akupige...atakua mkali tu lakini deep down inside him the love he has for u will grow massively, hata akifanya kosa utaona anakuogopa ataficha sana wewe mkewe usijue, that is love binded by respect)....hata siku moja hawez pata hela akakusahau...

Show him he z the man, the real Deal. Lazima atatulia tu. Men need a sense of pride from a woman.....wacha mapepe/ukorofi otherwise hata mwanamme awe na hela ka Bill Gates ataishia kukutawanya na kukuacha tu miaka 800.

OVER !!
 
Junior Boss (Mleta Mada) [emoji23][emoji23]

Endelea kuwafunza yan umetoboa mule mule chief. Wamezidi sanaaa.....kuna wawili nawajua mmoja ana 35 years mwingine 36 ni warembo kweli.....bado wanasota kwa wazazi wao tu.....mpaka unashangaa mwanamke huyu anakosaje mtu wa maana.

Wamebaki kubutuliwa na kuwachwa....wadogo zao wa juzi tu wanatongozwa wanaolewa wana makwao wao bado wanahangaika tu.

Jamani mwenye masikio asikie na aelewe......its time baadhi ya wanawake wajifunze kuishi na wanaume.
Sure mkuu. Kuna mdada alikuwa na face maridadi na murua kabisa ila mpaka muda yuko 32 years halafu bado anakula kwa mama na baba ake. Kila Mara kutobolewa na madushe mbalimbali. Mwisho wa siku siku sura kakomaa kama mbeba zege. Ukimu hag mabega magumu kama man yaani kakomaa mpaka anabeba zege za ghorofa.
 
Sio kila aitae Bwana Bwana atauona ufalme wa Mungu.

Lakini na wanawake tujirekebishe.

Tunajua kuna fashion na urembo...

Lakini kila kitu basi kiwe na kiasi....

Mwenye sikio na asikie.
 
Ndege wafananao huruka pamoja, kuna wavulana kila tukio liko mtandaoni ina maana wao hawataoa??
Meengi uloandika ni tabia za wasichana na wavulana, wakikomaa akili watabadilika tuu ila inakuwaga too late
 
Back
Top Bottom