Junior Boss (Mleta Mada) [emoji23][emoji23]
Endelea kuwafunza yan umetoboa mule mule chief. Wamezidi sanaaa.....kuna wawili nawajua mmoja ana 35 years mwingine 36 ni warembo kweli.....bado wanasota kwa wazazi wao tu.....mpaka unashangaa mwanamke huyu anakosaje mtu wa maana.
Wamebaki kubutuliwa na kuwachwa....wadogo zao wa juzi tu wanatongozwa wanaolewa wana makwao wao bado wanahangaika tu.
Jamani mwenye masikio asikie na aelewe......its time baadhi ya wanawake wajifunze kuishi na wanaume. Wanaume hatupendi mwanamke headache, mwanamke mvivu asiyejituma, asiye na malengo, asiye mwenye maono ya mbali, asiyekua mvumilivu, asiyekua muelewa (yeye anakua anataka pesa tu siku ukimwambia umekosa hakuelewi, anakuona mseng*, life got ups and downs.
Mjifunze kuwa waelewa na wavumilivu, show ur man ur there for him during the good and bad, encourage and respect him, kaa nae chini at tyms kuwa mkali kwake kwa mambo ya maendeleo na kwa ustawi wa familia yenu (i.e. justified anger. I assure u kamwe hatoinua mkono wake akupige...atakua mkali tu lakini deep down inside him the love he has for u will grow massively, hata akifanya kosa utaona anakuogopa ataficha sana wewe mkewe usijue, that is love binded by respect)....hata siku moja hawez pata hela akakusahau...
Show him he z the man, the real Deal. Lazima atatulia tu. Men need a sense of pride from a woman.....wacha mapepe/ukorofi otherwise hata mwanamme awe na hela ka Bill Gates ataishia kukutawanya na kukuacha tu miaka 800.
OVER !!