Kama una tabia hizi utazeeka nyumbani

Kama una tabia hizi utazeeka nyumbani

mkuu, kwanza unapojadiri usimbeze unaetofautiana nae mawazo,
pili, katika hoja inayohusu binadamu wote angalia uwiano, kati ya watu 100, ni wangapi hawana mawazo hayo kabisa, achilia mbali wale waliokosa hadi wakakata tamaa.
tatu na mwisho, hoja hizi hazihusiani na maisha ya nyumbani kwangu au kwako, ni za jamii kwa ujumla
Well said mkuu
 
Watu kama nyie ndio wepesi kunasa kwa hao unaowaita ATM na ukatangaza ndoa faster.
Nikupe sifa/siri ya watu ambao ni ATM machines.
1. Akibadili mwanaume Mara anasema hamulizishi Mara kidushe kidogo Mara mambo kibao. Tambua huyo bi ATM machine zimepita kadi kadha wa kadha mpaka alishakuwa sugu na hamu ya kujamiana ilishakuwa ya kutafta kwa manati.
 
Hiyo namba 4 si kwel
Hizi tabia katika kila namba lazma kila mmoja ambaye ana fall under that category utamgusa kwa namna yake. Kwa hyo mkuu wewe unapenda kuvaa ovyo ovyo kama changundoa????. Ebo!!!!
 
sasa mbona mnawaoa ambao wako kinyume na hizo sifa hapo juu.... the wanaume tena mnachepuka kufata wenye sifa hapo juu... sielewi elewi kwani mnatakaje... mwenye sifa zote pamoja??????
kuoa kwa siku hizi nako kuna kasoro, kuanza kubanduana ndiko kunakopelea mtu aoe mwanamke mwenye tabia za kicheche, kwa kuwa anazia kutongoza badala ya kuchumbia moja kwa moja, na katika kutongoza ni wachache wanaokubali usumbufu.
wanalazimika kutongoza wanawake vicheche, yaani wenye tabia zilizoainishwa hapo juu,
sasa wakishazoweana, mapenzi nyanaficha makosa, mwiaho unasikia jamaa kajitwika ule mzigo!
 
Imekuuma ee pole
mkuu, kwanza unapojadiri usimbeze unaetofautiana nae mawazo,
pili, katika hoja inayohusu binadamu wote angalia uwiano, kati ya watu 100, ni wangapi hawana mawazo hayo kabisa, achilia mbali wale waliokosa hadi wakakata tamaa.
tatu na mwisho, hoja hizi hazihusiani na maisha ya nyumbani kwangu au kwako, ni za jamii kwa ujumla
 
Watu kama nyie ndio wepesi kunasa kwa hao unaowaita ATM na ukatangaza ndoa faster.
Mkuu hata aibu huoni ????
Yaani mtu unavaa minguo kama changundoa halafu nikupeleke kwa baba na mama angu????
Kwanza nikikufikisha home nitanaswa makofi na umri Wangu huu na MZEE Wangu. Nani aliwaambia ukivaa kama kahaba ndo utapendwa?????
 
Hahaa nyie watu mkizidiwa hoja mnakumbuka jina MKUU. acha kukariri sio kila avaae nguo fupi ni muuzaji au kila avaae nguo ndefu ana heshima. Mtu anaweza badilika na kujiweka tofauti na tabia zake na ukaingia king ndoa juu.
Mkuu hata aibu huoni ????
Yaani mtu unavaa minguo kama changundoa halafu nikupeleke kwa baba na mama angu????
Kwanza nikikufikisha home nitanaswa makofi na umri Wangu huu na MZEE Wangu. Nani aliwaambia ukivaa kama kahaba ndo utapendwa?????
 
Imekuuma ee pole
hapana, aa haya mbona ya kawaida sana hapa watu wanaoltoa hadi maneno ya nguoni!
nakupa mwelekeo ili ujali tabia ya mijadala tu!
ukiwa mchangiaji bora watu watapenda kujadiliana na wewe!
 
Sawa.ila sijatoka nje ya mipaka nimeweka mifano tu kuendana na kile nilichokiandika awali kwamba sio lazima kuolewa,ni hiari ya mtu. Sitatoa matusi ya nguon kwa ambae hajanitolea hayo
hapana, aa haya mbona ya kawaida sana hapa watu wanaoltoa hadi maneno ya nguoni!
nakupa mwelekeo ili ujali tabia ya mijadala tu!
ukiwa mchangiaji bora watu watapenda kujadiliana na wewe!
 
Hahaa nyie watu mkizidiwa hoja mnakumbuka jina MKUU. acha kukariri sio kila avaae nguo fupi ni muuzaji au kila avaae nguo ndefu ana heshima. Mtu anaweza badilika na kujiweka tofauti na tabia zake na ukaingia king ndoa juu.
Hata sikushangai mkuu. Najua na kutambua kuwa unatetea tabia yako. Bora ukavaa kwa heshima na jamii ikaona kweli unafaa bila kujali kama unavaa kiheshima ili kuwapumbaza kumbe hamnazo ili hata kama ukibakwa jamii itakusaidia. Sasa wewe unavaa minguo mifupi kama changundoa au kahaba unadhani hata kama utabakwa nani atakusaidia maana pengne uvaaji wako ulikuwa na lengo la kutangaza biashara na kubakwa unastahili.
Matumizi ya neno mkuu ni la kawaida katk forum hii maana linaonesha kuwa tunajadili kwa amani na sio kwa Shari. Haya umetuzidi kwa hoja zipi???
Kwanza wanawake wenzako wanakushangaa tu kuws huyu VP anayetetea mtu kuvaa kama kahaba la miaka 20
 
Sawa.ila sijatoka nje ya mipaka nimeweka mifano tu kuendana na kile nilichokiandika awali kwamba sio lazima kuolewa,ni hiari ya mtu. Sitatoa matusi ya nguon kwa ambae hajanitolea hayo
hata mtu akikutolea usifanye hivyo, mpotezee tu, akikufuatilia sana mbock
utatumia mitandao kwa amani sana, na TCRA itakuwa kama haikuhusu!
 
Hahaa unajua nn ntawashangaa hao wanaonishangaa kwanza sina shost humu pili bando ninalo tumia sijachangiwa na mtu humu tatu jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza iwe tabia yangu au sio its ok(siuzi humu bana hivyo hainipunguzii au kuniongezea wateja hahahaa).nachat kufurahisha nafsi yangu sio kufurahisha wengine.
Hata sikushangai mkuu. Najua na kutambua kuwa unatetea tabia yako. Bora ukavaa kwa heshima na jamii ikaona kweli unafaa bila kujali kama unavaa kiheshima ili kuwapumbaza kumbe hamnazo ili hata kama ukibakwa jamii itakusaidia. Sasa wewe unavaa minguo mifupi kama changundoa au kahaba unadhani hata kama utabakwa nani atakusaidia maana pengne uvaaji wako ulikuwa na lengo la kutangaza biashara na kubakwa unastahili.
Matumizi ya neno mkuu ni la kawaida katk forum hii maana linaonesha kuwa tunajadili kwa amani na sio kwa Shari. Haya umetuzidi kwa hoja zipi???
Kwanza wanawake wenzako wanakushangaa tu kuws huyu VP anayetetea mtu kuvaa kama kahaba la miaka 20
 
kuoa kwa siku hizi nako kuna kasoro, kuanza kubanduana ndiko kunakopelea mtu aoe mwanamke mwenye tabia za kicheche, kwa kuwa anazia kutongoza badala ya kuchumbia moja kwa moja, na katika kutongoza ni wachache wanaokubali usumbufu.
wanalazimika kutongoza wanawake vicheche, yaani wenye tabia zilizoainishwa hapo juu,
sasa wakishazoweana, mapenzi nyanaficha makosa, mwiaho unasikia jamaa kajitwika ule mzigo!

hahahahah hlf kuna uzi mmoja kuna mdada kakataa kutoa mpaka aolewe wengiwao wamemponda kumwambia utaolewaje bila kutoa game tujue yaliyomo yaamo... hlf tena unataka demu asiekua kicheche... wkt wooote mnataka kuonja kabla... humu kelele nyiiingi mnatakaje sasa... maana kila mmoja anataka kuonja ukicheche utakwepekaje
 
Asante kwa ushauri,bahati nzuri sipendi kutukana ila napenda kuchokoza tu na utani. mtu kama Rais2020 hatukani ila anachangamsha kijiwe ndo napenda ubishi uendelee zaidi
hata mtu akikutolea usifanye hivyo, mpotezee tu, akikufuatilia sana mbock
utatumia mitandao kwa amani sana, na TCRA itakuwa kama haikuhusu!
 
hahahahah hlf kuna uzi mmoja kuna mdada kakataa kutoa mpaka aolewe wengiwao wamemponda kumwambia utaolewaje bila kutoa game tujue yaliyomo yaamo... hlf tena unataka demu asiekua kicheche... wkt wooote mnataka kuonja kabla... humu kelele nyiiingi mnatakaje sasa... maana kila mmoja anataka kuonja ukicheche utakwepekaje
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hapo sasa ndio utaona hawa jamaa ni wazinguaji wa hali ya juu.
hahahahah hlf kuna uzi mmoja kuna mdada kakataa kutoa mpaka aolewe wengiwao wamemponda kumwambia utaolewaje bila kutoa game tujue yaliyomo yaamo... hlf tena unataka demu asiekua kicheche... wkt wooote mnataka kuonja kabla... humu kelele nyiiingi mnatakaje sasa... maana kila mmoja anataka kuonja ukicheche utakwepekaje
 
hahahahah hlf kuna uzi mmoja kuna mdada kakataa kutoa mpaka aolewe wengiwao wamemponda kumwambia utaolewaje bila kutoa game tujue yaliyomo yaamo... hlf tena unataka demu asiekua kicheche... wkt wooote mnataka kuonja kabla... humu kelele nyiiingi mnatakaje sasa... maana kila mmoja anataka kuonja ukicheche utakwepekaje
hao wanaotaka kufanya kwanza ni vicheche nao, hivi unajua kama kufanya mapenzi kabla ya ndoa kunachangia kwa asilimia kubwa kuvunjika kwa ndoa nyingi?
 
Back
Top Bottom