Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,080
Mbona kuna sifa mzuri tupu?
We wa kiume wakikeheeeeee kumbe kingereza nayo ni sifa ya kuongeza credt kwa mwanamke daaaah , bac nami iyo sifa ninayo natafuta mchumbaa mwenye real love
8. Anajua kuhonga ela1. Anajua kupika chakula vizuri
2. Anajua kula vizuri na kuuweka mwili wake ktk afya nzuri sio anakua bonge hadi anashindwa kutembea na mwili wake mwenyewe.
3. Anajua kuvaa vizuri na kujiweka ktk hali ya usafi yeye na mazingira yanayo mzunguka , hapa sizungumzii urembo.
4. Anajua kuongea vizuri na watu na si mwepesi was hasira.
5. Anajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza .
6. Anampenda Mungu
7. Ongezea sifa nzuri ya mkeo ambayo haijatajwa hapa.
keWe wa kiume wakike
Wake wetu hawa wa kileo ukiwasifia kupika utakuwa mwongo kwani hizo kazi zinafanywa kwa ufasaha kabisa na beki tatu. Mke atasifiwa mauno labda maana hilo jukumu non delegare/halikasimiwi labda kiwizi wizi.mke mkubwa anapata sifa ipi..
Hapa ndo penyewe kabisa!!!Awe anajua kukatikia dyudyu
My lovely wife ana sifa hzo zote ila kasoro yake ni wivu na kunigombanisha na michepuko yangu hapo tu ndo nam disqualify1. Anajua kupika chakula vizuri.
2. Anajua kula vizuri na kuuweka mwili wake katika afya nzuri sio anakua bonge hadi anashindwa kutembea na mwili wake mwenyewe.
3. Anajua kuvaa vizuri na kujiweka katika hali ya usafi yeye na mazingira yanayo mzunguka, hapa sizungumzii urembo.
4. Anajua kuongea vizuri na watu na si mwepesi wa hasira.
5. Anajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza.
6. Anampenda Mungu.
7. Ongezea sifa nzuri ya mkeo ambayo haijatajwa hapa.
Acheni kisema tu una mke hata kumsaidia mtoto wa chekechea kumuelewesha homework hawezi mpaka urudi ni majanga hayoHapo kwenye no.5 umeharibu kila kitu
1. Anajua kupika chakula vizuri.
2. Anajua kula vizuri na kuuweka mwili wake katika afya nzuri sio anakua bonge hadi anashindwa kutembea na mwili wake mwenyewe.
3. Anajua kuvaa vizuri na kujiweka katika hali ya usafi yeye na mazingira yanayo mzunguka, hapa sizungumzii urembo.
4. Anajua kuongea vizuri na watu na si mwepesi wa hasira.
5. Anajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza.
6. Anampenda Mungu.
7. Ongezea sifa nzuri ya mkeo ambayo haijatajwa hapa.
Hata mimi hii sifa imenifanya nicheke kwa sautikujua kiingereza kumbe nayo ni sifa ya mke bora?
Haaaahaaaahaaaaaaa!, Umeanza Msako Wa Kimya Kimya Nini?Awe wa motoo...toto blackskinned! kitu chocolate colour kama mimiii..!
hahah hata mimi hoi hapa.... sijui anataka kufunzwa hiyo lugha....kujua kiingereza kumbe nayo ni sifa ya mke bora?
Hahaha ila ipo kwa wachachekujua kiingereza kumbe nayo ni sifa ya mke bora?
a
hahah hata mimi hoi hapa.... sijui anataka kufunzwa hiyo lugha....
ahahahaZamani sisi tulikuwa ni lena kabisa kwenye mahusiano...yaani unaingia mzigoni dashboard inasoma zeo zero!
Wewe unajijuaje kama ni wa moto. Acha kujufagiliaAwe wa motoo...toto blackskinned! kitu chocolate colour kama mimiii..!