Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,816
Inaonekana hujaoa na kama umeoa na hizi ndizo sifa za mkeo kazi unayo.
Hapo amechemka bhanakujua kiingereza kumbe nayo ni sifa ya mke bora?
We unaonaje?Kusema ukweli sijaoa lakini kuna ndugu yangu alinishauri nisije kuoa mwanamke mweupe mzuri eti nitachapiwa mpaka na ndugu zangu....
I'm looking you ooh. plus it babyOooh kizungu again, kizungu makes a good wife that is why am multiplying my English language
Cc Benny sister and my gelofriend Heaven Sent
Inaweza kuwa sifa mojawapo; personally napenda mke wangu awe anajiweza zaidi katika kizungu.kujua kiingereza kumbe nayo ni sifa ya mke bora?
kiigereza ni lugha km lugha zingine km kisukuma n.k tatizo la kingereza ni lugha ya weupe na ss weus huwa tunaiona km lugha ya ukombozi na tukiwaona wazungu km miungu vile.haaaaaaa, lengo la no 5 in ili aweze kuwasaidia watoto japo siyo kigezo sana, hapa nimegundua kuwa wanaume wanaoa wasio jua ngeli ili wawafiche baadhi ya mambo
Mkuu hata kama ana mcha Mungu kama sio msafi au hajui kupika atakua hana sifa stahikikiigereza ni lugha km lugha zingine km kisukuma n.k tatizo la kingereza ni lugha ya weupe na ss weus huwa tunaiona km lugha ya ukombozi na tukiwaona wazungu km miungu vile.
Kigezo cha kujua haimfanyi kuwa mke mwema ndio maana wanasema mke au mume mwema anatoka kwa mungu.
Sifa ya mke au mume bora
1. Amjue Mungu na amuabudu ktk roho na kweli hapa hautasikia usaliti, matusi, dharau, kulana tigo n.k
ukiwa na hofu na Mungu utamheshimu, na utakuwa mwaminifu na pia utailinda ndoa yako
kuwa na masters au PHD haikufanyi kuwa mke au mume mwema.
"Heri kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee ********''
bora uoe mwanamke aliyemaliza darasa mweny hekima na busara kuliko mwanamke aliye na masters au PHD mweny dharau, kejeli, na usaliti.
Sio wote weny masters au phd weny dharau la hasha baadhi yao.
Halafu kijana wangu usije kujidanganya kuwa ukioa mwanamke mweny kaz utasaidiwa majukumu hapo sahau. Pesa ya mwanamke ni yake ya kwako ni ya wote
Wakinianza Yani nitazungukia mashemeji woteWe unaonaje?
heeeeee kumbe kingereza nayo ni sifa ya kuongeza credt kwa mwanamke daaaah , bac nami iyo sifa ninayo natafuta mchumbaa mwenye real love
Oooh kizungu again, kizungu makes a good wife that is why am multiplying my English language
Cc Benny sister and my gelofriend Heaven Sent
Oooh kizungu again, kizungu makes a good wife that is why am multiplying my English language
Cc Benny sister and my gelofriend Heaven Sent
Hiyo namba moja ya kupika sifa ziwaendee wake zetu wadogo wanaitwa housegirl/beki tatu.