Na mi' ndo nimeona hapo. Sasa huyo mke au secretary?
sura na rangi sio muhimu, muhimu awe msafi na ajue kula vizuri kutunza mwili wake na afya yake kama mwanamke
Kusema ukweli sijaoa lakini kuna ndugu yangu alinishauri nisije kuoa mwanamke mweupe mzuri eti nitachapiwa mpaka na ndugu zangu....Awe na sura/umbo zuri
Ulivyojisifia duh!! usikute cheusi dawaAwe wa motoo...toto blackskinned! kitu chocolate colour kama mimiii..!
Hahaha!!! Kweli huyu secretary, sifa zote hizo anazo lakn ana roho mbaya.Na mi' ndo nimeona hapo. Sasa huyo mke au secretary?
Awe wa motoo...toto blackskinned! kitu chocolate colour kama mimiii..!
1. Anajua kupika chakula vizuri
2. Anajua kula vizuri na kuuweka mwili wake ktk afya nzuri sio anakua bonge hadi anashindwa kutembea na mwili wake mwenyewe.
3. Anajua kuvaa vizuri na kujiweka ktk hali ya usafi yeye na mazingira yanayo mzunguka , hapa sizungumzii urembo.
4. Anajua kuongea vizuri na watu na si mwepesi was hasira.
5. Anajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza .
6. Anampenda Mungu
7. Ongezea sifa nzuri ya mkeo ambayo haijatajwa hapa.
Awe wa motoo...toto blackskinned! kitu chocolate colour kama mimiii..!
M1. Anajua kupika chakula vizuri
2. Anajua kula vizuri na kuuweka mwili wake ktk afya nzuri sio anakua bonge hadi anashindwa kutembea na mwili wake mwenyewe.
3. Anajua kuvaa vizuri na kujiweka ktk hali ya usafi yeye na mazingira yanayo mzunguka , hapa sizungumzii urembo.
4. Anajua kuongea vizuri na watu na si mwepesi was hasira.
5. Anajua kusoma na kuandika kiswahili na kingereza .
6. Anampenda Mungu
7. Ongezea sifa nzuri ya mkeo ambayo haijatajwa hapa.