Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,041
- 71,287
1👉Je mwanamke wako ameanza kuwa na mitoko au safari kuliko ilivyokuwa huko nyuma??.
2👉Je mwanamke wako macho yake na akili yake yote ni kuwa karibu na simu yake??
3👉Je kwa Sasa amekuwa active zaidi kwenye social media hususan IG na FB?
4👉Je anapost post picha za mitego?
5👉Je kwa Sasa hajali hata akuone unanukaribu na mwanamke mwingine?.
6👉Mkeo Kwa Sasa anazungumzia Maisha Mazuri nje ya Ndoa??.
7👉Amekua na Marafiki wengi wengi mtaani?.
8👉Ameanza kua Mkali unapomuuliza kuhusu marafiki zake wakiume?.
9👉Unaona amepata improvement kwenye Maisha yake ? Mfano kazin wamempa promotion?. Kaanza kujidiet Et kupunguza uzito?.
10👉Alikua Mgonv Mgonv ila siku hizi Hana kabisa muda ?.
11👉Anasifia Mabwana au waumenza marafiki zake?.
12👉Fanya kumuuliza kuhusu "Usaliti", muitikio wake ukoje, anakwepa kwepa kulijibu Hilo swali???
Sasa piga hesabu ndogo hapa
Kama unachezea hivi....
0---3 Huyu uwezekano wa kusaliti ni mdogoo.
3---6 Kuna Uwezekano kaanza kufikiria kukusaliti lakini hapa Kuna nafasi bado ipo ya Kumfanya asikusaliti.
6+++++ Keshaanza Kuliwa Ndugu yangu, huna chako, keshaanza kuchezeshewa shooo !!.
Nini Cha kufanya?.
Kabla ya yote faham kua, MWANAMKE ANASALITI PALE TU ANAPOKOSA EMOTIONAL SATISFACTION KUTOKA KWA MWANAUME WAKE.
Sasa ili uweze kumpa Emotional Satisfaction ,lazima upitie nyuzi zangu baadhi nlowah andika jinsi ya kucheza na Mind ya mwanamke, Kumfanya aamini wee ndo Maisha yake, n.k !!.
2👉Je mwanamke wako macho yake na akili yake yote ni kuwa karibu na simu yake??
3👉Je kwa Sasa amekuwa active zaidi kwenye social media hususan IG na FB?
4👉Je anapost post picha za mitego?
5👉Je kwa Sasa hajali hata akuone unanukaribu na mwanamke mwingine?.
6👉Mkeo Kwa Sasa anazungumzia Maisha Mazuri nje ya Ndoa??.
7👉Amekua na Marafiki wengi wengi mtaani?.
8👉Ameanza kua Mkali unapomuuliza kuhusu marafiki zake wakiume?.
9👉Unaona amepata improvement kwenye Maisha yake ? Mfano kazin wamempa promotion?. Kaanza kujidiet Et kupunguza uzito?.
10👉Alikua Mgonv Mgonv ila siku hizi Hana kabisa muda ?.
11👉Anasifia Mabwana au waumenza marafiki zake?.
12👉Fanya kumuuliza kuhusu "Usaliti", muitikio wake ukoje, anakwepa kwepa kulijibu Hilo swali???
Sasa piga hesabu ndogo hapa
Kama unachezea hivi....
0---3 Huyu uwezekano wa kusaliti ni mdogoo.
3---6 Kuna Uwezekano kaanza kufikiria kukusaliti lakini hapa Kuna nafasi bado ipo ya Kumfanya asikusaliti.
6+++++ Keshaanza Kuliwa Ndugu yangu, huna chako, keshaanza kuchezeshewa shooo !!.
Nini Cha kufanya?.
Kabla ya yote faham kua, MWANAMKE ANASALITI PALE TU ANAPOKOSA EMOTIONAL SATISFACTION KUTOKA KWA MWANAUME WAKE.
Sasa ili uweze kumpa Emotional Satisfaction ,lazima upitie nyuzi zangu baadhi nlowah andika jinsi ya kucheza na Mind ya mwanamke, Kumfanya aamini wee ndo Maisha yake, n.k !!.