Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
Nafahamu mtakua na mchecheto sana wa kutaka kuyafaham maisha ya chuo yalivyo hasa hapa SAUT main campus.. kwa hiyo kwa mliochaguliwa hongereni jamani. Kwa yeyote mwenye swali kihusu SAUT Main anaweza kuuliza..
Lastly karibuni tulijenge jiji la Mungu...
Lastly karibuni tulijenge jiji la Mungu...