Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

Kama uliwahi tapeliwa njoo hapa

hakuna mazingaombwe mkuu!!
Jamaa anakuwa na bahasha mbili, moja inasimu na nyingine ina sabuni.
Zote anaweza weka kwenye mfuko mmoja wa suruali au moja kushoto na nyingune kulia.

na nilazima akikupa uikague akupokonye tena, then anaiweka kwenye bahasha ukiona afu anarudisha mfukoni, ukitoa hela tu anakutolea nyingine ambayo ni sabuni.

Wapo wengi hapa Akiba benk tawi la kariakoo km unaelekea soko la karume
Aggrey street huwa nawaona sana na mheza wanavyoliza watu matejs
 


Hahaha!, lakini Fundi!!
Eti leo nilifikiri jumatatu nina kesi ya kuua!

Naona aliishiwa nguvu kabisa hata ya kukudai tena asee!
Sawasawa lakini kwa mtu kama huyo, yaani mtu unajitoa kutaka kumsaidia halafu anataka kukufanyia upuuzi sijui umfanye nini..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimpoteza kabisa mwelekeo kibaka siyo mtu mzuri au mwizi ukikutananaye ni kumpoteza kabisa!!!
 
Nilipigwa buku9 masika kwa wauza madude used.yale, redio na tv za kizamani.
Nikaja kupigwa simu moshi, na wale jamaa.wenye stori nyingi na nahisi walitumia madawa wale! Wakanikoholesha nywele toka tumboni.ha ha nilipigwa simu mbili, cheni na buku5
dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D uuh kuna jirani yangu apa kawa vuz yaan no mia kisa alitaka hela ya chapchap ya freemason kaambiwa akalete hela zote za benki wazichanhanye na zakimason atapata 10billion akaenda ku droo 47m na kuuza magari na nyumba ya biashara juu na alikopa sasa hivi ninavyoandika nyumba nyumba yake iliyobaki iko chini ya bank!
 
nilitapeliwa na demu wa sudam temeke baada ya kupata boom first year 2015 nikasema ngja nikachukue mtt mzur mana wa chuo wanazingua sana basi ohh nimefika pale akanikaribisha kwa makeke tukaongea bei nikaanza kupiga miti alivyogundua na pesa nying mana nilikua na lak iv akasema amenielewa so nipige viwil vya free bas nikapiga nikachoka si nikajilaza nakuja kushtuka sina kitu kumuuliza anabisha na akasema nimpe pesa yake ohh wakanipa option mbili ya kwanza niache simu na ya pili niwanyonye K mana alimwita rafik ake basi mwanaume nikasema simu siachi nikazama chumvini ah si wakapata nyege nikatwanga kimoja afu nikasepa

Sent using Jamii Forums mobile app
pambafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishatapeliwa stendi kuu mbeya,Ilikuwa hivi
Nimetoka zangu shule(Iyunga tech)nimechoka kinyama,pepa zote zimenibaka(PCM) nimefika stand kuu natafuta ofisi za hood hola,namuuliza utingo mmoja akanipeleka ofisi ya hood feki,tiketi feki mpaka gari feki
Mpaka kuja kushtuka nipo ndani ya MAJINJI EXPRESS naelekea dar
Majinji exp

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Daah mi nilitapeliwa arusha maeneo ya stendi kuu. Nikiwa zangu natembea town jamaa mmoja akaniita, nilivyoenda akanambia eti kuna ujambazi umetokea njiro usiku na wao ni mapolisi kutokea dar wamekuja kufanya upelelezi wa kuwatafuta hao majambazi wakati anaendela kunambia ivyo akapita jamaa mwingine nae akamwita na kumwambia kama alivyoniambia mimi. Akatwambia wanachofanya wao ni kukagua hela na simu za watu wanaowahisi kwenye mashine yao km ndio zilizoibiwa.
Akamwambia yule jamaa aliyemwita baada yangu ampe simu yake na waleti akazicheki kwenye mashine akazunguka kwa nyuma kidogo akaingia kwenye nyumba fulani ivi baada ya kama dakika 5 akarudi akamwambia vitu vyako vipo salama hausiki, nenda zako. Ikaja zamu yangu nikampa kisimu changu cha G Tide na buku mbili akaenda kuzicheki kwenye mashine. Nilimsubir km dakika 15 mtu akurudi ndo akili zikanirudia kuwa hapa nimeshatapeliwa. Aise nilizunguka stendi nzima kumtafuta yule jamaa adi kidogo nigongwe na gari kwa stress za kutapeliwa.
 
nilitapeliwa na demu wa sudam temeke baada ya kupata boom first year 2015 nikasema ngja nikachukue mtt mzur mana wa chuo wanazingua sana basi ohh nimefika pale akanikaribisha kwa makeke tukaongea bei nikaanza kupiga miti alivyogundua na pesa nying mana nilikua na lak iv akasema amenielewa so nipige viwil vya free bas nikapiga nikachoka si nikajilaza nakuja kushtuka sina kitu kumuuliza anabisha na akasema nimpe pesa yake ohh wakanipa option mbili ya kwanza niache simu na ya pili niwanyonye K mana alimwita rafik ake basi mwanaume nikasema simu siachi nikazama chumvini ah si wakapata nyege nikatwanga kimoja afu nikasepa

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni acheni kabisa, matapeli achana nao. Mimi nimetapeliwa mara nyingi na kwa mambo tofauti tofauti. Ikiwemo ajira, biashara, utajiri na nk. Lakini utapeli mkubwa nisioweza kuhusahau ambao ulihatarisha kuvunja ndoa yangu, ni kutapeliwa uwanja Tegeta masite. Hapo sitakuja kusahau. 2002 niliuziwa uwanja milioni 3, mbele ya wanasheria siwezi kuwaandika, maana kila walichokitaka wanasheria jamaa wali submit tena og. Yalifanyika malipo nikapewa document zote, ilikuwa offer. Sitakuja kusahau nakuambia. Nilikuwa na hamu sana kuwa na nyumba, nikaweka tofari zaidi ya elfu2, mchanga, kokoto nyie acheni tu. Ita mafundi wakafanya setting ya msingi, kazi imeanza nikapata safari ya SA, lakini huku niliacha kila kitu safi yaani nikirudi no kupaua tu. Jamani niko Durban napigiwa simu, huku balaha uwanja huu ni wa mtu. Aiseeh naumia sana, acheni tu ila Mungu anawaona.
Dah..pole sana ndugu..kiukweli inaumiza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah mi nilitapeliwa arusha maeneo ya stendi kuu. Nikiwa zangu natembea town jamaa mmoja akaniita, nilivyoenda akanambia eti kuna ujambazi umetokea njiro usiku na wao ni mapolisi kutokea dar wamekuja kufanya upelelezi wa kuwatafuta hao majambazi wakati anaendela kunambia ivyo akapita jamaa mwingine nae akamwita na kumwambia kama alivyoniambia mimi. Akatwambia wanachofanya wao ni kukagua hela na simu za watu wanaowahisi kwenye mashine yao km ndio zilizoibiwa.
Akamwambia yule jamaa aliyemwita baada yangu ampe simu yake na waleti akazicheki kwenye mashine akazunguka kwa nyuma kidogo akaingia kwenye nyumba fulani ivi baada ya kama dakika 5 akarudi akamwambia vitu vyako vipo salama hausiki, nenda zako. Ikaja zamu yangu nikampa kisimu changu cha G Tide na buku mbili akaenda kuzicheki kwenye mashine. Nilimsubir km dakika 15 mtu akurudi ndo akili zikanirudia kuwa hapa nimeshatapeliwa. Aise nilizunguka stendi nzima kumtafuta yule jamaa adi kidogo nigongwe na gari kwa stress za kutapeliwa.
huyu tapel namfahamu kabisa!!! anatumia staili iyo iyo! mitaan yake ni JR
mara ya kwanza alikuwa na swaga hizo za kuwa yeye ni polisi nikamzingua
mara ya pili nakutana naye tena akaniambie yeye ni muuza madini nikamwambia juz ww si ulisema ni polis alipata aibu sana
 
Nimekaa nao sana hao wezi lakn sijawahi kuelewa ni mechanism gan ambayo huwa wanatumia ila nahsi kuna mazingaombwe hapo
Hao jamaaa nawakubari sana wanavyoiba
Huwa nikiwaona wanamuibia mtu nawapa hela ya soda ata buku 5

Mkuu unaishi wapi tuje kukuchoma moto?
 
Back
Top Bottom