hebu fikiria ndio umepata taarifa kuwa Bujibuji ametutoka, je utamkumbuka kwa kipi/ lipi?
Poleni mlioshtushwa na heading.
Kuishi ni Kristo, KUFA FAIDA.
mizaha mizaha hutumbua usaha!
Mimi asingenipata.Bujibuji umenistua sana.
sasa hivi nilikuwa ninasoma mchangio wako kwenye jukwaa la lugha, kuingia hapo ninaambia umeshatangulia,
na jinsi nilivyokuwa mpumbavu, nilisoma heading bila kuangalia nani katuma.
Kama ingekuwa Siku ya Wajinga ungetupata sote kwa ujinga.
Hongera. Natumai siku ya kuondoka kweli utamwarifu Rejao aende kutafuna mpunga wa matanga.
We nawe huishi vituko, upumzishwe mahali unapostahili huko uendakohebu fikiria ndio umepata taarifa kuwa Bujibuji ametutoka, je utamkumbuka kwa kipi/ lipi?
Poleni mlioshtushwa na heading.
Kuishi ni Kristo, KUFA FAIDA.
Mie nachukua ndizi yangu na kutafuta msiba uko wapi, hapakosi pilau hapo!!!!Kuishi ni Kristo, KUFA FAIDA.
hebu fikiria ndio umepata taarifa kuwa Bujibuji ametutoka, je utamkumbuka kwa kipi/ lipi?
Poleni mlioshtushwa na heading.
Kuishi ni Kristo, KUFA FAIDA.