Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Ualimu ngazi ya cheti umefutwa rasmi na walimu hao wanatakiwa kujiendeleza, Je, kulikuwa na ulazima wa kuwapa nafasi walimu wa cheti WAOMBE AJIRA wakati cheti chao kimefutwa?
Ndio ushenzi wa serikali hii. Wanaoanza ndio wafutiwe kutosoma kozi hiyo, siyo hawa ambao walipata cheti kwa uhalali kabisa.Ualimu ngazi ya cheti umefutwa rasmi na walimu hao wanatakiwa kujiendeleza, Je, kulikuwa na ulazima wa kuwapa nafasi walimu wa cheti WAOMBE AJIRA wakati cheti chao kimefutwa?
View attachment 1585506
Hii figure yako ni chai kabisaNi kwasababu hizo ajira 130,000 zilizotangazwa ni chai za kisiasa hakuna hata mtu mmoja atakayeajiriwa.
Comrade unasubiri ajira 🤣Hii figure yako ni chai kabisa
Huko ni kukurupuka! Je watakaoshindwa kujiendeleza watafukuzwa? Au ndiyo muendelezo wa kunyanyasa waalimu wazee ambao hawana uwezo wa kujiendeleza?Ualimu ngazi ya cheti umefutwa rasmi na walimu hao wanatakiwa kujiendeleza, Je, kulikuwa na ulazima wa kuwapa nafasi walimu wa cheti WAOMBE AJIRA wakati cheti chao kimefutwa?
View attachment 1585506
Ni kwasababu hizo ajira 13,000 zilizotangazwa ni chai za kisiasa hakuna hata mtu mmoja atakayeajiriwa.
Hawa tunajiandaa kuwala vichwa kama 'tukipita' kama tulivyo washughulikia wale vyeti feki.Huko ni kukurupuka! Je watakaushindwa kujiendeleza watafikuzwa? Au ndiyo muendelezo wa kunyanyasa waalimu wazee ambao hawana uwezo wa kujiendeleza?
🤣 🤣 🤣 na wkati huo upo kazini tayari na unakula mshaharaYaani unahitimu,halafu unaambiwa umesoma ndicho sicho,anza upya?
Kuna ajira ya wapi hapo mmechotwa tu akili mpige kura? Ccm hoyeee. Wanawajua kuwa waalimu ni wengi halafu hawafikiri nje ya box hata kama wataumizwa kiasi gani. Hii ni dharau kubwa sana kwa waalimu na kwa waTanzania wote. Kwanini wawaache waalimu miaka 4 mizima halafu waanze kujifanya wanawapenda mwaka huu wa uchaguzi. Wakiwaumiza vizuri ndio mtapata akili. Mumpe mitano tena, mtasimulia. Wamefuta Cheti, lakini mtalipwa mshahara kama wa cheti, subiri mtaona. Kila la heri.Ualimu ngazi ya cheti umefutwa rasmi na walimu hao wanatakiwa kujiendeleza, Je, kulikuwa na ulazima wa kuwapa nafasi walimu wa cheti WAOMBE AJIRA wakati cheti chao kimefutwa?
Wanawajua hawawezi kufanya lolote.Yaani unahitimu,halafu unaambiwa umesoma ndicho sicho,anza upya?
Kuajiri mtu ni mipango ya muda mrefu, kuanzia mshahara wake, malipo yake akiugua, atakae kaimu nafasi yake akiugua, malipo yake ya likizo, kuongeza ya mshahara ya kila mwaka nk.Ni kwasababu hizo ajira 13,000 zilizotangazwa ni chai za kisiasa hakuna hata mtu mmoja atakayeajiriwa.