Kama nimeimbiwa mimi!

Kama nimeimbiwa mimi!

Mama ni mama by isha mashauzi(taarabu)..mimi sio mpnz wa taarabu lakini huu wimbo naupenda sana na kuona unagusa maisha yangu,mama yangu ametulea watoto wake 3 kwa tabu na kila namna japo baba tunaishi nae lakini mama ndo mpiganaji mkuu..siwezi kusahau nlkuwa boarding korogwe girls alkuja kunitembelea kutokea dsm akafika jion ikabdi ageuze dar siku hyo hyo lakini usafiri ukawa wa shida mwisho kulala njiani..nmemalza chuo lakin bado cjapata maisha mazuri ili mama yangu afaidi,ila naamin ipo siku ntampa furaha mungu anitunzie mama yangu ambaye ndo kila kitu kwangu.
 
Kwenye mapenz huko nyingi sna more than that,end of the road kibao ila huwa inayonipa moyo ni over it by catherine
 
All or nothing by Alaine!
jah love mi by konshens
call 4 mi cure by Tessanne
real love by Wayne Marshall!!wapi ganja smokers

 
kuna hii nyimbo ya Chris brown inaitwa treading water naikubali sana. pia nimependa ujumbe wake pia
 
Someone like you wa Adele mbona hautajwi ilihali case za kuachwa na kuacha zinaongoza?
Anyway... naupenda Above all powers... naona ndio wimbo unaoendana na maisha yangu...
 
Thread ina lugha ngumu ama? Mbona kama posts zinaonyesha haijaeleweka? Anyway All of Me ® John Legend unaniakisi mno! Alafu kuna P funk, haya yote ni maisha
 
Thread ina lugha ngumu ama? Mbona kama posts zinaonyesha haijaeleweka? Anyway All of Me ® John Legend unaniakisi mno! Alafu kuna P funk, haya yote ni maisha

Shayo uzi umeeleweka! Kuna nyimbo inakugusa mpk unahisi muimbaji ni kama anakufahamu! Ni km ulivosema hapo kuwa JL na P Funk wamekuakisi ktk ngoma zao! Sahihisho: HAYA YOTE NI MAISHA ni ngoma ya Madee ila P kapewa ft!
 
Wapo by Lameck Ditto...."sijali umenitesa mara ngapi ama nimelia mara ngapi nia yangu ni moja tuwe wote pamoja" duh! niliimbiwa mpka nikakunjua nafsi.

All in all Gospel musics zinanigusa sana especially Mchungaji Abiudi Misholi albamu yake ya 1-4.
 
Kwenye mapenz huko nyingi sna more than that,end of the road kibao ila huwa inayonipa moyo ni over it by catherine

boyzIImen waliua, yaani wananigusa hadi basi, ile nyimbo inanitoa machozi kila nikiickia,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom