Kama nimeimbiwa mimi!

Kama nimeimbiwa mimi!

kamwambie na mbagala hizi nyimbo za bwana mdogo diamond aliniimbia kabisa aisee,kuna bidada mmoja alinitenda tukiwa chuo,hizi song zilikua zinanifariji sanaa
 
halafu hili game ya juma nature inanikumbusha zile party za kisekondari,welcome form 1,5 na graduations,full kuruka ndebe,disco la darasani mijasho kibao.
 
Yan katika watu mungu aliwabariki sauti ni wale jamaa maana ile end of the road ukiweka I will make love to you karibia nyimbo zao zote alaf wanakuja backstreet boys ,michael Bolton hata kama mbishi ilautabd utulie feelings zije

Ongezea

One sweet day feat Mariah
Yaani nikisikia One sweet day lazma macho I yateremke dah!
 
Yatakwisha .Ben Pol ft. Lina
Hii nyimbo sio KAMA ila kwa kweli nimeimbiwa mim cha ajabu hayaishi tu hayo ninayoambiwa yatakwisha
 
Yatakwisha .Ben Pol ft. Lina
Hii nyimbo sio KAMA ila kwa kweli nimeimbiwa mim cha ajabu hayaishi tu hayo ninayoambiwa yatakwisha

Baby dont cry - 2pac
 
Sihitaji marafiki - Fid Q

Kuna marafiki wananiumiza, yaani unawasaidia halafu mwisho wa siku ovyo tu. Natamani nisiwe na rafiki, maana wengi wao ni parasites tu then wanakuharibia mipango yako
 
Sihitaji marafiki - Fid Q

Kuna marafiki wananiumiza, yaani unawasaidia halafu mwisho wa siku ovyo tu. Natamani nisiwe na rafiki, maana wengi wao ni parasites tu then wanakuharibia mipango yako

unakula happy leo... kesho wanamtaka mkeo...
 
Halo by beyonce unanihusu sana siku hizi.
cc; daktari

Hit me like a ray of sun, burning through my darkest night
u a the only one that i want, think am addicted to ua light
I swore I'd never fall again, bt this dont even feel like falling
Gravity cant forget to pull me back to the ground again.
its like I ve been awekened
every rule I had u breaking
Its the risk that am taking......

cc; my doctor, I miss u!
 
uwiii wewe umenichekesha jamani lol!!
Kweli?

Kama nimekosea rekebisha ujue utotoni sijui nikiwa na miaka minne au tano ndio niliimba hizo nyimbo, kwahiyo usishangae kama mistari nimeikosea au nimechapia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom