Sina budi kukupongeza kwa mtindo uliotumia kuandika katika kuwakilisha kile ulichotaka wanaJF wakisome na kukipata toka kwako japo bado hujafa! Big up!
Napenda nikuulize mkuu Elli, ni lini umeanza kukumbuka kutubu na kusamehe? Je, ni baada ya Madiba kufa na habari zake za upendo wa dhati na jinsi alivyowasamehe makaburu waliomfunga kutangazwa sana?
Nani aliyekuambia kuwa ukifa unakuwa na jukumu la kuombea wengine waliobaki duniani?
Aisee ni almost everyday Mpwa wangu
nimefurahi sana
Hakika MUNGU ni mwema aiseee, kampeni yangu mwaka huu ni kupunguza kutenda dhambi kwa asilimia 99%
Nani aliyekuambia kuwa ukifa unakuwa na jukumu la kuombea wengine waliobaki duniani?
Kweli mwaka mupya unaandamana na mambo mupya.
Heri ya mwaka mupya.
Heri ya Mwaka Mpya na kwako MPwa, kampeni yetu iwe moja, tuishi tusitende mabaya hahahhhaaaa
Yani tufanye mpango viwanda vya bia vife au vitoe maziwa, na hizi K tamu zilizojaa mjini ziwekewe meno na miba. Vinginevyo ibilisi hawezi kuturuhusu kufanikiwa hii kampeni.
Tumwombe sana Mungu mpwa.