Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Kabla sijajiunga na JF nilimjua tu pale alipotutupa mkono na kurejea kwa muumba wake, maana nilikuwa sifuatilii Siasa kipindi hicho ndio maana nilikawia kumfahamu.

Wakati nipo hapa JF nikawa nafukua makaburi mara nikaona huyu member nikaangali na nyuzi zake, kiukweli alikuwa ni mtu mwenye sifa zake ambazo wewe ndio unazijua vizuri.

R.I.P Mtoi
Dah nilikua nae tangu utotoni, chekechea, primary, sekondari O'level ndio baada ya hapo tukatenganishwa!!
 
Dah nilikua nae tangu utotoni, chekechea, primary, sekondari O'level ndio baada ya hapo tukatenganishwa!!
Kilichobaki ni kumuombea tu aweze kupokelewa huko na muumba wake na awekwe sehemu salama kama muumba alioahidi kwa ambao watamtii na kufuata muongozo wake katika maisha yetu ya Duniani
 
Elli umetumia muda wako kufikiri, na kuandika kitu kizuri sana, chenye ujumbe ndani yake hakika kama ukifa leo hii, ntakukumbuka kwa andiko lako hili la mwisho. heri ya mwaka mpya 2014.
Hahahhaah Asante sana sana
 
Duh yaani umenikumbusha kwmaba nina deni la ile simulizi ya kule Tanga...
Naomba usife usiku wa leo ili niitumie siku ya kesho kuandika ile simulizi ya tanga kama nilivyokuahidi...

Kumbuka kwamba urafiki wangu na wewe siyo wa kukutana Barabarani...........LOL
Mtambuzi, ile story uliandika au uliacha? Nilikua nafukua makaburi Kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah, walimtanguliza jembe letu
Naikumbuka sana hiyo ajari
Alale salama
MOHAMMED MTOI2.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom