Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,209
- 99,959
@Elli !!!
The best post ever for 2013
Nilijipatiamo burudani kurudi Morning nikakuta mtu katembezewa BAN
Ujumbe mzuri sana. Mwaka 2014 uwe mwaka wa kusamehe, kutubu, na kujiepusha na dhambi. Vijana wa siasa waache fitina majungu na kutumiwa na vigogo, mmu kwa vijana wenzangu kuwe na uhalisia wa story zenu maana zingine hazijengi zaidi ya kubomoa..Heri ya Mwaka Mpya
Heri ya mwaka mpya Elli.
Na kwako pia, Mungu akubariki na kukujibu haja ya Moyo wako
hahahaaaa na mimi ntafurahi kwakuwa ntakua nshapitia kifo wakati wewe bado!!**
Nimesema just ikitokea!
Amen Amen ndugu yangu mpendwa, yaani huwa nawaza life after death.....jinsi mtu anavyowamisi ndugu na rafiki zake. Mmhhhh basi Mpwa
Barikiwa sana Mpwa wangu, nakutakia mwaka wenye mafanikio kimwili na kiroho
Mghoshi na mndughu wangu Elli ni matumaini yangu kama walivyokuombea wengi huwezi kufa kabla ya wakati huo. Kuna mengi ya kufanya nasi bado twaitaji busara zako kaka mkuu. Usijali mwaka ujao nitajitahidi kuelimisha wasiosikia wote hasa wale vijana wa Heche kuheshimu viongozi wao na wanajukwaa kwa ujumla. Ni matumaini yangu utaendelea kuwa hai na Mungu atasikia maombi ya wanajukwaa. Pamoja sana.
Kind regards, hukunitaja lakini?