Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Hongera sn Elli shairi Zuri sn.ni kwel sote tunapita Lkn mim naamin hutokufa mpaka ufikie umri wa bi kidude..sema Amina bac!!
 
hahahaaaaa usiogope bhana , kwani nyie hamtaki kula ubwabwa? Nina ndugu yangu Eli79 sijamtia machoni hapa sijui analipi la kusema hapa
UUH Elli jamani mie ni mvivu wa kusoma lakin nimesoma hii kitu mwanzo mwisho

umenifanya nisikitike rohoni may be its time I should do so kabla hiyo kesho hajijaja

nashukuru kwa nasaha zako
 
Last edited by a moderator:
Mpwa wangu Scola, huo wa Bi Kidue nauogopa aisee, mimi ningetamani kazi yangu ikiisha hapa nikapumzike kwa Baba, hahahahaaaaa Happy New Year
Hongera sn Elli shairi Zuri sn.ni kwel sote tunapita Lkn mim naamin hutokufa mpaka ufikie umri wa bi kidude..sema Amina bac!!
 
mkuu ELLI,usipokufa weka bandiko ifikapo saa 6 usiku kuwa upo hai,pia andaa mtu wa kutujulisha mapemaaaaa kuwa umekufa kama ukifa!isije ikafika machi 2014 ndio watu wanaulizana mbona elli haonekani jukwaani

btw, Mungu Mwenyezi akupe miaka mingi na heri duniani
 
Hahahaaaa March 30 ndio Birthday yangu hata hivyo usijali, kama ni lazima iwe hivyo karibia wote including wewe mtakua na taarifa tu, kikubwa ni matendo yetu kwa sasa, je yatatupeleka wapi siku tukizimika? pale miguu itakapokataa kutusogeza mbele tena? Pale moyo utakaposimama? Who knows when? hahahaaaaa
mkuu ELLI,usipokufa weka bandiko ifikapo saa 6 usiku kuwa upo hai,pia andaa mtu wa kutujulisha mapemaaaaa kuwa umekufa kama ukifa!isije ikafika machi 2014 ndio watu wanaulizana mbona elli haonekani jukwaani

btw, Mungu Mwenyezi akupe miaka mingi na heri duniani
 
Heri ya mwaka mpya Elli!
"Hata sasa Bwana ametusaidia"....... Amen
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa March 30 ndio Birthday yangu hata hivyo usijali, kama ni lazima iwe hivyo karibia wote including wewe mtakua na taarifa tu, kikubwa ni matendo yetu kwa sasa, je yatatupeleka wapi siku tukizimika? pale miguu itakapokataa kutusogeza mbele tena? Pale moyo utakaposimama? Who knows when? hahahaaaaa

usemayo ni hakika mkuu wangu,ila ujue kila aliyesoma uzi huu umemtia kasimanzi na upole na kauoga kakufa!mi huwa kila nikiwafikiria wanangu mmoja 4yrs mwingine just a year na my beautiful wife huwa sitaki kufa kabisa,i cant imagine their life without me!
 
Stive kanumba aliimba wimbo wake wa nitayainua macho yangu nq move ya love and power ambao ujumbe wake ulikuwa km anatabili siku akifa na kabla haujatoka akafariki, mangwea naye wimbo wake uitwao nikifa leo hata kabla haujatoka akatangulia mbele za haki, anjela chibalonzo wimbo wake wa mwisho unaitwa kaa nami ambapo alijitabilia kifo na hata kabla ya kuzindua albam hiyo alifariki kwa ajali, jim reeves wimbo wake wa mwisho ni this world is my home baada ya kuutoa hakumaliza mda mrefu alifariki. Orodha ni ndefu sana ya waliojitabilia kifo. Mkuu elli we sijui umepata maono gani mpaka ukatupatia ujumbe huu
 
hahahaaaaa usiogope bhana , kwani nyie hamtaki kula ubwabwa? Nina ndugu yangu Eli79 sijamtia machoni hapa sijui analipi la kusema hapa

ndugu yako Eli79 yupo kuna sehem nilimuona akichuana na mudada mmoja nikaishia kucheka tu

Kifo hakizoeleki mpwa..mie naogopa sana
 
Last edited by a moderator:
Daaah! Hongera kwa hekima uliyotumia kufikisha ujumbe. Tunashkur kutukumbusha mambo muhimu...Mungu baba mwingi wa rehema akujalie kuuona mwaka wa kesho kwa ushindi.
 
Elli, unapaswa kuwa mtu w imani, ni imani yangu kuwa mwaka 2014 tutauona sote, isije ikawa yale ya mwaka 2000 tulipoambiwa ndio mwisho wa dunia watu wakaanza kuaga na wengine kuuza vitu vyao!! Cha msingi ni kuwa karibu na Mungu na kufanya yale yanayompendeza siku zote, nakutakia mwaka mpya mwema na ninakuhakikishia katika Jina la Yesu mwaka 2014 utauona, say amen!


Yaani kama kesho hiyo DAMU yangu itasimama itakapokataaa kuendelea kuzunguka mwilini tena, hapo Moyo wangu utakaposimama na mapigo ya mwili kutoweka nitaomba sana Aine Paloma ladyfurahia tinna cute Smile na Heaven on Earth wabadilike na kuwa wadada wazuri wenye kuelemisha jukwaa, nitaomba kitu kimoja toka kwenu endapo itabidi nife leo, mtafuteni Little Angel maana ameliasi jukwaa, seems Whatsup imempoteza. Nawapenda dada zangu
 
Stive kanumba aliimba wimbo wake wa nitayainua macho yangu nq move ya love and power ambao ujumbe wake ulikuwa km anatabili siku akifa na kabla haujatoka akafariki, mangwea naye wimbo wake uitwao nikifa leo hata kabla haujatoka akatangulia mbele za haki, anjela chibalonzo wimbo wake wa mwisho unaitwa kaa nami ambapo alijitabilia kifo na hata kabla ya kuzindua albam hiyo alifariki kwa ajali, jim reeves wimbo wake wa mwisho ni this world is my home baada ya kuutoa hakumaliza mda mrefu alifariki. Orodha ni ndefu sana ya waliojitabilia kifo. Mkuu elli we sijui umepata maono gani mpaka ukatupatia ujumbe huu

Bila kusahau muigizaji wa Hollywood. Paul walker alikuwa anakimbiza magari sana kwenye movie zake na amekufa kwa ajali ya gari.
 
hahahaaaaa usiogope bhana , kwani nyie hamtaki kula ubwabwa? Nina ndugu yangu Eli79 sijamtia machoni hapa sijui analipi la kusema hapa

Ndugu yangu wa damu kabisa, Elli wala usihofu, utauona mwaka 2014 bila shida....
Nimefurahi kusoma stori yako, ni vizuri kujenga taswira ya siku ya mwisho duniani ili kujiweka tayri..

Kifo hakikwepeki ila bado tupo saaana...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom