Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Babu yako kabla ya kukata raha kakuita wewe Mjukuu wake ili akupe wosia huu....
"Mjukuu wangu kipenzi, Babu yako ndio naiaga Dunia, lakini kwenye hazina yangu kuna milioni 800 na hakuna yoyote
anayejua nilipoziweka....Nimeona nikupe pesa zote kama urithi Mjukuu wangu..... Hizo pesa nimeziweka kwenye....
Kwenyeee......kwenyeeeee.......... mara akakata roho ghafla bila kukutajia mahali alipoziweka....
Je Utafanyaje???
"Mjukuu wangu kipenzi, Babu yako ndio naiaga Dunia, lakini kwenye hazina yangu kuna milioni 800 na hakuna yoyote
anayejua nilipoziweka....Nimeona nikupe pesa zote kama urithi Mjukuu wangu..... Hizo pesa nimeziweka kwenye....
Kwenyeee......kwenyeeeee.......... mara akakata roho ghafla bila kukutajia mahali alipoziweka....
Je Utafanyaje???