Kama ni wewe, mtu huyu utamfanya nini?

Kama ni wewe, mtu huyu utamfanya nini?

Joined
Nov 21, 2013
Posts
23
Reaction score
6
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?
 
tip3.gif
 
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?

So simple....

Unamwambia hakuna shida mamiii....

Mnapumzika tu siku inakwisha. Baada ya siku 5, unamwita tena. Usimpe hela, aje kwa daladala....

Asipotoa tena ujue hapo hauna hisa, tafakari!
 
Umfanyeje ili nini?? Kwani wewe ulitegemea uambiwe nini??
 
Umfanyeje ili nini?? Kwani wewe ulitegemea uambiwe nini??

Nashangaa....

Safi sana hivo ndivo wanavotaka kufanyiwa.....wallah ingekua mie ningemwambia nna nifasi hasa badala ya hedhi (siku 40)....
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?

wewe ni sifuri kwani hana kabang au mdomo tatizo unaishi kwa kukariri damn...
 
Yani hapa sijui lkn..
 

Attachments

  • gun_with_bullets.jpg
    gun_with_bullets.jpg
    20.4 KB · Views: 197
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?

mwenye shida ni wewe kwa kuokotaokota. Mpenzi wako kabisa utampelekaje gesti? Kwa nini usijue siku zake? Kwa nini msipeane taarifa kuwa siku fulani kuna mpira?
 
Mjinga ndo anayeliwa,lakini kama ni mpenzi wako si utakula hata siku nyingine huwezi ukawa na short run halaf ukamfanyia mbwembwe zote hizo za nini? ulikuwa unajibanika mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom