Kama ni wewe, mtu huyu utamfanya nini?

Kama ni wewe, mtu huyu utamfanya nini?

Du! Yote kutaka mbudu tu?

Kweli kuna watu wanaliwa, bajeti ya msosi nyumbani ni kiasi gani?
 
Ndo madhara ya pweza kujikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
 
mmh bora angeagiza lori na mchanga, ujenzi mdogo mdogo

Kwetu ni lori 4 za mawe ya kujengea msingi. Yanatosha nyumba ya vyumba yenye sebule, vyumba 4,jiko, choo na bafu. Wanaume wakati mwingine tunategemea mno kichwa cha chini kufikiri. Hawa watu wanamfaa @lara1
 
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?

Mkuuu usihofu hako ni ka Investment umekaanza na hii ni Operating capital, ukiendelea kuwa mvumilivu payback period itafika, its a greate investment.
Uki consider Capital Employed.
 
hahahahaa., yaani nimekosa hata cha kujibu. Kama ni mtu wangu haina tabu bana., ila kama ni wa short time hata BJ lazima anipe ili nimwage oil nyeupe, otherwise akitoka hapo sidhani kama atarudi
 
Post zingine ukisoma ndo utaona jinsi dunia ilipofikia na maadili kushuka kwa kiwango kikubwa.
a) So sad ukute anakupenda sana na anajua kuwa u gave her all that not because u love her back but because u want to do her. Na anachoshangaa ni kwamba she is yours unapata shida ya nini? Kwa hiyo akiwa hivyo msijuane?
b) If u r buying her is that her price? U can have a prostitute for way less than that(Bcoz honestly if u r buying her then she is not urs na hana tofauti na wale. tena bora wale wako straight forward)
 
mie nafikiri kabla ya shopping ma atumiz yote hayo mpaka lodge! ina maana angekuwa yuko red basi angesema tangu mwanzo, ila kwa kuwa alikuwa na nia mbaya ya kukumemena basi!! mwanamke ana matundu mangapi? tumia yaliyobakia kama huwezivumilia ila sasa dhambi juu ya dhami!! wanaume waakacha matumizi ya asili ya mwanamke mbaya zaidi sio ke wako!!
 
Mbona huyo ajakuchuna vzuri mpenzio!inabidi tena arud darasa la kuchuna mpaka million ikutokeee hahaa chezeiya wadada wa mjin ww
 
Vuta subira Mkuu atapona,kama vipi fumba macho ujitose sy sehem kuangalia ile.
 
Nimewakilisha matukio ya jamii ktk maisha ya kila siku kwenye mahusiano ya mapenzi pia ni mambo ambayo yapo, pengine wapo waliopata maumivu zaidi ya hayo niloyasema. (viwango nilivyoweka si rasmi)
 
Mizunguko ya town tax-tsh. 45,000/-
Vinywaji-48,000/-
Dinner-25,000/-
Mchemsho wa bata-12,000/-
Vocha-10,000/-
Shoping ya-190,000/-
Umelipia LODGE-35,000/-
Anakuangalia usoni anakwambia nipo kwenye.....Je, kama ni wewe utamfanyeje?

samahani sikusoma vizuri, kumbe jina lako pia linahusika
 
nampotezea tu kwani si tutaendelea kuwasiliana kwani ulimfanyia vyote ivyo ukitegemea kupata siku hiyo hiyo basi kama ndio hivyo mbona hata napo unaonekana kama unanunua bei mbaya sana si bora uwafuate wale wa kinondoni hapo chenji zitabaki na utapata siku hiyo hiyo
 
Kweli ww ni ziro kama jina lako so ulifanya hayo yote ili uupate uchi wake tu au ulifanya sababu unampenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom