GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,697
- 109,125
Nimezipokea hizi 'Tetesi' kwa Furaha kubwa mno na kama itakuwa ni kweli kwani Edward Charles Manyama ni Beki Bora wa Pembeni anayecheza 'Kisasa' zaidi tena kuliko aliyeko Mohammed Hussein Tshabalala.
Uzuri wake Edward Charles Manyama ni kwamba haishii tu kukupa Faida ya Kukaba vyema bali pia ana uwezo wa Kupanda (Kushambulia) na ni mfungaji mzuri hata Rekodi za VPL zinambeba.
Kwa nia njema tu nikiwa naheshimu Uwezo mkubwa alionao Beki Mohammed Hussein Tshabalala wa Simba SC ila niuombe tu Uongozi wa Simba SC kama kweli ' Watansajili 'Edward Charles Manyama (kutokea Ruvu Shooting FC) basi wawakalishe chini wote Wawili kuwa ' wasirogane ' na 'Kuumizana' ila mkazo mkubwa uwe kwa Tshabalala ambaye anajulikana kwa ' Miba ' Simba SC na ' Kuogopwa ' mno japo ana 'Kipaji 'kikubwa.
Ikiwa ni kweli nitafurahi kwani anatufaa.
Uzuri wake Edward Charles Manyama ni kwamba haishii tu kukupa Faida ya Kukaba vyema bali pia ana uwezo wa Kupanda (Kushambulia) na ni mfungaji mzuri hata Rekodi za VPL zinambeba.
Kwa nia njema tu nikiwa naheshimu Uwezo mkubwa alionao Beki Mohammed Hussein Tshabalala wa Simba SC ila niuombe tu Uongozi wa Simba SC kama kweli ' Watansajili 'Edward Charles Manyama (kutokea Ruvu Shooting FC) basi wawakalishe chini wote Wawili kuwa ' wasirogane ' na 'Kuumizana' ila mkazo mkubwa uwe kwa Tshabalala ambaye anajulikana kwa ' Miba ' Simba SC na ' Kuogopwa ' mno japo ana 'Kipaji 'kikubwa.
Ikiwa ni kweli nitafurahi kwani anatufaa.