MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Nilishasema katika moja ya Mada ( Threads ) zangu hapa JamiiForums kuwa hakuna Kocha hapa na kutoa sababu zangu kadhaa za Kiufundi na Kiuchambuzi nasikitika Sikueleweka na Kutusiwa na Wadau.
Unajua kabisa kuwa Principle Kuu ya Wapiga Penati ni Kwanza kuanza na wale Mafundi wa Kupiga kama Shomary Kapombe na siyo Wabovu kama Mkude na Inonga.
Kocha mwenye Akili ( ambazo Tapeli wa Kihispania ) Pablo Franco Martin hana pale hasa ilipofika tu hatua ya Mikwaju ya Penati angeanza na Shomary Kapombe, Mohammed Hussein Tshabalala, Meddie Kagere, Pascal Wawa na Saido Kanoute.
Kama Kocha Mkuu umeshaona tokea mapema tu Jonas Mkude anagombana na Mwamuzi mara kwa mara pamoja na Beki Henock Inonga ambaye muda wote ni Kukasirika na Kuwafokea tu Wachezaji wenzake akijifanya anajua Mpira Tanzania nzima wakati Kiuhalisia ni wa Kawaida sana kupelekea Wawili hawa kutoka Mchezoni mapema halafu bado nikashangaa kuwaona nao Wamejumuishwa katika Wapiga Penati zile.
Tafadhali Uongozi wa Simba SC upesi sana Fukuzeni Kocha Mkuu Pablo Franco Martin na Msaidizi wake Suleiman Matola pamoja na Meneja wa Timu Patrick Rweymamu na mtafute Kocha wa muda huku mkimtafuta Kocha Mkuu Mpya anayeendana na Matakwa, Sera na Falsafa za Simba SC.
Unajua kabisa kuwa Principle Kuu ya Wapiga Penati ni Kwanza kuanza na wale Mafundi wa Kupiga kama Shomary Kapombe na siyo Wabovu kama Mkude na Inonga.
Kocha mwenye Akili ( ambazo Tapeli wa Kihispania ) Pablo Franco Martin hana pale hasa ilipofika tu hatua ya Mikwaju ya Penati angeanza na Shomary Kapombe, Mohammed Hussein Tshabalala, Meddie Kagere, Pascal Wawa na Saido Kanoute.
Kama Kocha Mkuu umeshaona tokea mapema tu Jonas Mkude anagombana na Mwamuzi mara kwa mara pamoja na Beki Henock Inonga ambaye muda wote ni Kukasirika na Kuwafokea tu Wachezaji wenzake akijifanya anajua Mpira Tanzania nzima wakati Kiuhalisia ni wa Kawaida sana kupelekea Wawili hawa kutoka Mchezoni mapema halafu bado nikashangaa kuwaona nao Wamejumuishwa katika Wapiga Penati zile.
Tafadhali Uongozi wa Simba SC upesi sana Fukuzeni Kocha Mkuu Pablo Franco Martin na Msaidizi wake Suleiman Matola pamoja na Meneja wa Timu Patrick Rweymamu na mtafute Kocha wa muda huku mkimtafuta Kocha Mkuu Mpya anayeendana na Matakwa, Sera na Falsafa za Simba SC.