IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
Duuuh kumbeHizo conversation ni fake na ni za uongo na za kutengeneza.....
Duuuh kumbeHizo conversation ni fake na ni za uongo na za kutengeneza.....
Wapo wengi sana. Kiufupi, jamaa nchi ilisha mshindasuala la uhakiki wa vyet limeshashindikana, inaskitisha sana serikali inaposhindwa kutimiza wajibu, kwan mpaka sasa watumiaji vyeti feki bado wamejaa kibao maofisin umo
Hii ni prove tosha jamani...hilo jina Bashite lilitajwa 8 months ago mtandaoni watu hawakushtukia...ila nashangaa people wataleta uchama tu hapa na utetezi usio na maana....Vyeti yule kafoji...Gwajima kuekwa ndani ni uonevu wa Serikali na Mungu anawaona mnachomfanyia mtumishi wa Mungu...cku mtatoa Hesabu zake...Ukweli kweli unauma...ww Bashite mwachie huru mtumishi wa Mungu ....Hajakosa lolote kusema ukweli...
Kwa hili naomba niwe wazi kwako ....Punguza kuwatesa watoto Wa akina mama wenzako ....Mikopo mmenyima maelfu kwa maelfu ....kuna wazazi wakaamua kuuza Assets zao ili kuwalipia watoto vyuo wasome .......Leo hii mnakuja na matamko oooohh 8000 hawana sifa .....Ivi mpaka TCU inawachagua ulikua imefumba macho ????? Ivi hamkuliona hili ???? Mmeacha watu wameuza Mali zao ...wengine wameishi maisha ya ajabu ili mradi wasome ...Leo mnakuja na matamko ambayo nyinyi ndio watendaji ....Nyinyi ndio mmewagawa hawa vijana .....Yaan ikiwa mamlaka ningekua yangu Ningewafungulia mashitaka kwa usumbufu na athari za kisaikolojia mnazotupa wazazi na wanafunzi.....Kwan elimu inakua ivi ?? Hata kama ni kuonyesha uwajibikaji jaribuni kujua utu ninin ....Namm mwisho niseme..atakapopatikana Rais Mwningne na kuamua kutudisha Mfumo Wa zamani Basi tambua kua Watu watakulaumu sana na Jina lako litabaki kua ktk historia ya viongozi walioshindwa ..embu tutumie elimu zetu kama kings nasio kusubiri ajar ndo mzitumie kama matibabu .![]()
Waviweke mara ngapi?Kwanini Wanaodai Wana vyeti halisi vya Makonda hawaviweki hadharani?
Kiuhalisia ni kuwa ukipata zero huwezi pewa cheti NECTA...shuleni utapewa leaving certificate tu kuonyesha ulisoma mpaka form 4....lakini nadhani cheti alichofojia ndio kilichopo ....Kwanini Wanaodai Wana vyeti halisi vya Makonda hawaviweki hadharani?
Mnajichoresha haswa,so juzi tuu mmekimbiza watu makazini. Mkadai mmepitia vyeti vya kila mtu.Sasa mnaonyeshwa na watu walio nje ya system, shida nini system haina weledi? Au siju ya kucheki bashite aliwazidi akili? Vipi gwajima kawa mjinga hivyo had I arudishe sembe ndani au aweke vyeti vya bashite ndabi bila kuscan? He mna hakika gwajina hana mitamvo ya siri ndani? Baadae awaanike tena? Kwa stahili hii rematch mtatolewa tena damu. Shida humu ndani mnachagua ushauri wa kusikia. Note my word. Ni bora aibu ndogo watu wanasahau mapema kuliko kubwa. Mkajipange upya. Bashite apigwe chini mpeni pole km jk akivyompa msela kwamba kapata janga la kisiasa. Humu ndani kuna washauri wazuri tuu ila makaretii yenu tuu. Mimi mwenyewe nimewapa warning kibao, kuanzia purukushani za sukari, machinga mwanza, pesa na bank. Ila bado tuu mnataka aibu kwa nguvu.Kwa hiyo bawacha huu ndio uthibitisho?
Huo si uthibitisho.
Ni mazingira tu ambayo yanaweza kumfanya mtu apatwe na imani kuwa huenda kinachodaiwa kina ukweli.
Lakini hayo mazingira si uthibitisho.
Nimecheka mpaka tumbo inaumwaNaunga mkono hoja sasa hivi hana jeuri Daudi Bashite.... Eee baba ekolomijee ebashite mweee salamu ya mjini
Kubwa jinga Le mutuz siku hizi hata makonda analikwepa baada ya kugundua watu wanalidharau sana, Daud Albert lazima aonyeshe vyeti na asipoonyesha vyeti alafu waendelee kumnyayasa Gwajma kule kijijini kwao wazee wote wa kimila watafanya Tambuko la kumlaani Daud kwa Udikteta anaomfanyia Gwajma.Ukiona clouds na le mutuz wamekausha ujue kilichobaki ni kumtungia wimbo wa maombolezo
Nadhani Jamii Forums nayo inaanza kukataa kuwa jukwaa La kusafishia zile elimu lissu, gwajima, na wengine wanazozitafuta .Kubwa jinga Le mutuz siku hizi hata makonda analikwepa baada ya kugundua watu wanalidharau sana, Daud Albert lazima aonyeshe vyeti na asipoonyesha vyeti alafu waendelee kumnyayasa Gwajma kule kijijini kwao wazee wote wa kimila watafanya Tambuko la kumlaani Daud kwa Udikteta anaomfanyia Gwajma.
Elimu take haisafishiki. Le mutuzi km wale maprof wa udsm. Wanajipa tuu vyeo mchambuzi was masuala ya mashariki ya kati, mchambuzi was uchumi, mbobezi wa was masuala ya social media.Huyu tunae mpaka mwisho wa maisha yake..
Daudi Albert Bashite.
Kwani hujaona necta form four results ya shule yake kwenye mtandao serial namba yake 546 na aggregate zake ni 35 division 0??????? na jina ni Albert Bashite!!
Habari wanabodi. Baada ya mfululizo wa tuhuma dhidi ya kufoji vyeti vya kitaaluma, kuna mwitikio kutoka kwa mtuhumiwa na mamlaka husika, ambavyo vinathibitisha ukweli wa tuhuma husika
Mosi, Ni mhusika kukimbia vyombo vya habari na kukosa utetezi wa kina katika kufoji cheti
Pili, Kushindwa kuanika nyaraka za vyeti vyake vya kitaaluma.
Tatu, Kupungua kwa ujasiri wake wa awali.
Nne, Mamlaka husika kukaa kimya huku ikisisitiza uhakiki wa vyeti kwa Watumishi wa umma.
Tano : Mteule wake kukosa ujasiri wa kulizungumzia, kama ilivyo kawaida yake, Na hivyo kujenga mazingira ya kumlinda.
Sita : Majibu yake kukwepa kutaja cheti badala yake kuibua visingizio kwamba hata kama angepata 0 angekuwa mkuu wa Mkoa.
Saba : Jeshi la polisi kwenda kukagua Gwajima ambaye ndio ameweka wazi zaidi juu ya tuhuma hiyo.
Haya yote bila shaka, kwa wenye fikra yakinifu wameelewa.