Hapo nawaona wanume wawili na mwanmke mmoja....! Bado sijajua nafasi yangu itakuwa ni upi.....! Huenda nikawa na reactions zangu....
NIAMBIWA ETI JAMAA ALIJIFANYA ANACHUKUA TAI ALIYO ISAHAU NA KAMA HAKUWAONA VILE.
USILIPIZE KIASASI BALI LIPA UBAYA KWA WEMA.
Is it possible.....?????NAAHIRISHA SAFARI... NAWASUBIRI WAMALIZE KUNGONOKA... NAMWAMBIA MKE APIKE MSOSI.... TUNAKULA WOTE MEZANI... AFU NAMPONGEZA JAMAA KWA KUNISADIA.. NA NAMWALIKA TENA AJE WAKATI WOWOTE ANAPOJISIKIA... UNAMWAGA AENDE...!!!:tongue:
ndugu kumbuka kuwa vita tunavyopigana si vyetu bali ni vya Bwana. solution za kidunia are there just to fail. Godly solution ni kuushinda ubaya kwa wema. lakini nimefurahi sana ulipomalizia kwa kusema kuwa eventually utawasamehe. hakika tukiwasamehe watu makosa yao ndipo na Baba yetu aliye mbinguni atattusamehe na sisi pia. imeandikwa heri wapatanishi, maana hao wataitwa wana wa Mungu (mt 5:9). ubarikiwe sana mpendwa
Mungu alikwishamaliza kazi yake tusimsingizie, Sisi bado ni binadamu wadhaifu lazima kifanyike kitu cha kibanadamu kama wanavyofanya wao ili wamkumbuke Mungu. Unataka kusema Mungu amebariki upuuzi huo? Hekima ni hapo hapo Mungu atakapokufunulia kama hivyo ushindwe wewe ubaki unamsingizia. Ni kutengana mbele kwa mbele kuepusha shari.