umerudi ghafla home unakuta comrade mwingine uwanja wa nyumbani.
mwanaume unapaswa kuandika talaka hapo hapo,unamkabidhi kisha unawafukuzia mbali wote wawili!,haiwezekani wakafanyia uchafu wao ndani ya himaya yako!!!.....
***najua utakuwa na nyumba ndogo mahali,sasa ni muda muafaka wa kuwaza kuifanya iwe nyumba kubwa!!!!..:redfaces::redfaces::redfaces: Cha muhimu ni kujikagua wapi ulikosea ili makosa km hayo yasijirudie tena.
inamaana nyumba ndogo nazo zinaumuhimu wake?? Au siyo pauline??
unamshukuru Mungu kwa kukujulisha siri. baada ya hapo unatafuta amani kwanza na mkeo kisha na huyo mwizi. kumbukeni imeandikwa kuwa "ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi", na pia "tafuteni kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao hakuna atakayemona Mungu asipokuwa nao". kwa kifupi hakuna haja ya magomvi, hayasaidii kitu. tunapaswa kuushinda ubaya kwa wema
Napenda ulivyo muwazi haumiumi maneno.sana tu...lols:whoo:
sana tu...lols:whoo:
unamshukuru Mungu kwa kukujulisha siri. baada ya hapo unatafuta amani kwanza na mkeo kisha na huyo mwizi. kumbukeni imeandikwa kuwa "ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi", na pia "tafuteni kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao hakuna atakayemona Mungu asipokuwa nao". kwa kifupi hakuna haja ya magomvi, hayasaidii kitu. tunapaswa kuushinda ubaya kwa wema