Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
umenena vyemahaina noma namwacha jamaa amalizie kazi niliyoiacha kiporo............ndio nijifunze kuwa niwapo eneo latukio nifanye inavyopaswa...i love my wife
ur 1 in 100000000000000
umenena vyemahaina noma namwacha jamaa amalizie kazi niliyoiacha kiporo............ndio nijifunze kuwa niwapo eneo latukio nifanye inavyopaswa...i love my wife
NIAMBIWA ETI JAMAA ALIJIFANYA ANACHUKUA TAI ALIYO ISAHAU NA KAMA HAKUWAONA VILE.
USILIPIZE KIASASI BALI LIPA UBAYA KWA WEMA.
Lakini dada kumbuka hata Paulo katika Biblia(sikumbuki mstari) amekataza watu kuachana ila katika suala la uzinzi hata yeye kigugumizi kilimshika.
Ok, msimamo wangu: Mimi nitamsamehe tu ila sitataka iwe siri kuu, lazima tuitane ndugu kadhaa(wachache tu) wa pande zote wafahamishwe kilichotokea na yeye atubu mbele ya hao ndugu. Lakini kabla ya kuita ndugu nitamuuliza kama bado anapenda kuendelea na mimi au kakolea kwa mgoni wangu, kwani naogopa kusamehe mke ambaye moyoni kumbe hanipendi tena. Baada ya yote nitamfuata mgoni wangu na kutaka fidia ya alichokifanya maana nikimkalia kimya atajiona mshindi ili hata akirudia tena kuwe na record tayari. Mengine yatategemea jinsi hali itakavyokua.
Hapana, kuna ndoa zingine hazina talaka ni mpaka kifo kiwatenganishe, ukiona hivo kunakitu huyo mume alisha kifanya akamuudhi mungu, pengine aliacha mkewe mpendwa akaimilikisha hiyo nyumba ndogo na ndo hiyo inayomfanyia hivo. Kwa wakristu kuna maandiko yanasema mume usipomtii mungu kitanda chako kitalaliwa na mwanaume mwingine.
unamshukuru Mungu kwa kukujulisha siri. baada ya hapo unatafuta amani kwanza na mkeo kisha na huyo mwizi. kumbukeni imeandikwa kuwa "ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi", na pia "tafuteni kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao hakuna atakayemona Mungu asipokuwa nao". kwa kifupi hakuna haja ya magomvi, hayasaidii kitu. tunapaswa kuushinda ubaya kwa wema
Hivi talaka inaandikwaje? I mean contents za talaka zikoje? Naomba msaada...! Inatakiwa isainiwe? Iwe na tarehe? Kosa alilotenda unaliezeaje?
unaendelea na shughuli zako tu kama hakuna kilichotokea.
hapana, kuna ndoa zingine hazina talaka ni mpaka kifo kiwatenganishe, ukiona hivo kunakitu huyo mume alisha kifanya akamuudhi mungu, pengine aliacha mkewe mpendwa akaimilikisha hiyo nyumba ndogo na ndo hiyo inayomfanyia hivo. Kwa wakristu kuna maandiko yanasema mume usipomtii mungu kitanda chako kitalaliwa na mwanaume mwingine.
haina noma namwacha jamaa amalizie kazi niliyoiacha kiporo............ndio nijifunze kuwa niwapo eneo latukio nifanye inavyopaswa...i love my wife
NIAMBIWA ETI JAMAA ALIJIFANYA ANACHUKUA TAI ALIYO ISAHAU NA KAMA HAKUWAONA VILE.
USILIPIZE KIASASI BALI LIPA UBAYA KWA WEMA.
jamani huo ndio mwisho wa dunia au just dalili???
Are you sure you can practise what you preach?
Lakini dada kumbuka hata Paulo katika Biblia(sikumbuki mstari) amekataza watu kuachana ila katika suala la uzinzi hata yeye kigugumizi kilimshika.
Ok, msimamo wangu: Mimi nitamsamehe tu ila sitataka iwe siri kuu, lazima tuitane ndugu kadhaa(wachache tu) wa pande zote wafahamishwe kilichotokea na yeye atubu mbele ya hao ndugu. Lakini kabla ya kuita ndugu nitamuuliza kama bado anapenda kuendelea na mimi au kakolea kwa mgoni wangu, kwani naogopa kusamehe mke ambaye moyoni kumbe hanipendi tena. Baada ya yote nitamfuata mgoni wangu na kutaka fidia ya alichokifanya maana nikimkalia kimya atajiona mshindi ili hata akirudia tena kuwe na record tayari. Mengine yatategemea jinsi hali itakavyokua.
kwanza hakuna haja ya ku-publish masuala kama haya . hiyo itakuwa ni kumuaibisha mkeo. rejea kuwa yusuph alipogundua kuwa mchumba/mkewe mariamu ni mjamzito, aliazimia kumuacha kwa siri asitake kumuaibisha (Math 1:19). hii ni kwa kuwa alikuwa mu wa haki. kama kweli nawe ni mtu wa haki huapaswi kupublish aibu ya mwenzio. kama utaamua kumuacha basi fanya ka siri kumlindia na kumhifadhia heshima yake. ndipo atakapojiona mkosefu na mwovu na hakika utamsaidia kutubu kwa dahti ya moyo
pili unasema unaogopa kumsamehe mwanamke ambaye hakupendi. kusamehe ni wajibu unaotokana na upendo na kutambua kuwa hakuna aliye mkaminilifu ila Mungu pekee. tunasamehe kwa kuwa nasi tunahitaji msamaha wa Mungu (Mat 6: 12, 14-15) kwani kama Mungu angehehesabu (bila kusamehe) maovu yetu hakika hakuna ambaye angesimama
mwisho mgoni wako naye kama mkeo anahitaji msamaha wako kama ambavyo nawe unaitaji msamaha wa Mungu. kudai fidia ni solution za kibinadamu amabzo hazina uwezo wa kupunguza uovu duniani. solution ya kimungu ni kusamehe na kusahau. kumbuka kumuombea hata adui zako akiwemo na huyo mgoni wako. hakika nakuambia utakapomsamehe kwa kosa kubwa kama hilo atakupenda , kukuheshimu na "kukuogopa" zaidi kwani hofu ya Mungu itamwingia. usishangae wakishikana mikono na mkeo na kukuangukia miguuni. kumbuka asamehewaye kidogo hupenda kidogo, bali asamehewaye zaidi hupenda zaidi
ubarikiwe mpendwa
kwanza hakuna haja ya ku-publish masuala kama haya . hiyo itakuwa ni kumuaibisha mkeo. rejea kuwa yusuph alipogundua kuwa mchumba/mkewe mariamu ni mjamzito, aliazimia kumuacha kwa siri asitake kumuaibisha (Math 1:19). hii ni kwa kuwa alikuwa mu wa haki. kama kweli nawe ni mtu wa haki huapaswi kupublish aibu ya mwenzio. kama utaamua kumuacha basi fanya ka siri kumlindia na kumhifadhia heshima yake. ndipo atakapojiona mkosefu na mwovu na hakika utamsaidia kutubu kwa dahti ya moyo
pili unasema unaogopa kumsamehe mwanamke ambaye hakupendi. kusamehe ni wajibu unaotokana na upendo na kutambua kuwa hakuna aliye mkaminilifu ila Mungu pekee. tunasamehe kwa kuwa nasi tunahitaji msamaha wa Mungu (Mat 6: 12, 14-15) kwani kama Mungu angehehesabu (bila kusamehe) maovu yetu hakika hakuna ambaye angesimama
mwisho mgoni wako naye kama mkeo anahitaji msamaha wako kama ambavyo nawe unaitaji msamaha wa Mungu. kudai fidia ni solution za kibinadamu amabzo hazina uwezo wa kupunguza uovu duniani. solution ya kimungu ni kusamehe na kusahau. kumbuka kumuombea hata adui zako akiwemo na huyo mgoni wako. hakika nakuambia utakapomsamehe kwa kosa kubwa kama hilo atakupenda , kukuheshimu na "kukuogopa" zaidi kwani hofu ya Mungu itamwingia. usishangae wakishikana mikono na mkeo na kukuangukia miguuni. kumbuka asamehewaye kidogo hupenda kidogo, bali asamehewaye zaidi hupenda zaidi
ubarikiwe mpendwa
Kuna watu hawana hofu ya Mungu hivyo inabidi washughulikiwe kidunia dunia, ukiwa fichia siri unakuwa umewapa ushindi na watakuona jinga fulani, zaidi sana watapanga mikakati ya kuendelea kufanya kwa siri zaidi na pengine ikawanogea wakaamua wakuuwe tu ili waendelee kwa uhuru, haya mambo yametokea katika jamii. Hata Biblia imesema mtu akikosea waite jamaa zako kwa usuluhishi. Kikubwa ni kuita watu wachache unaoona wana hekima, usiite jumuiya nzima.
Fidia nitayodai kwa mgoni wangu nayo sitafanya kuwa jambo la jumuiya na wala sitadai kupitia mahakamani na asipo lipa basi lakini ukweli unabaki kuwa nilimdai fidia, na akilipa hiyo hela nalisha mayatima kudhihirisha upendo nilionao na kwamba sijinufaishi na uzinzi wao. Lazima nionyesha kila aina ya muonekanao kwamba sikufurahishwa na kitendo chao, halafu nasamehe.