stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 8,888
- 17,538
Habari, wana jukwaa
Ambao hamjaoa msije mkaogopa
Kuna dada mmoja ambae ni best friend wangu na hanifichi kitu na Miongoni mwa watu wangu wa karibu na ni msaada mkubwa kwangu.
Sasa huyu dada ana mumewe ambae yuko nje ya mkoa kikazi, huwa anachukua muda mwingi kazini nyumbani anakuja mara chache anaweza kukaa mpaka miezi mitatu bila kurudi kwa familia yake.
Huyu dada huku aliko ameanzisha mahusiano mapya yaani ni kama ndoa vile. Kilichoniumiza kama mwanaume jamaa amerudi kuja kutazama familia yake.
Sasa leo walikua wanasafari Kuna sehemu wanaenda, yule dada aliamua kunishirikisha kwenye hiyo safari, nilichoshangaa gari iliyotumika kwenye safari ni hiyo gari ya mchepuko, jamaa mwenye mke ndio alikua anaendesha gari ya mume mwenzake bila wasiwasi.
Je, siku akigundua anasalitiwa na mkewe na anaemchapia ni yule aliewapa gari atachukua uamuzi gani kama sio mauwaji, maana hii ni dharau ya hali ya juu
Ambao hamjaoa msije mkaogopa
Kuna dada mmoja ambae ni best friend wangu na hanifichi kitu na Miongoni mwa watu wangu wa karibu na ni msaada mkubwa kwangu.
Sasa huyu dada ana mumewe ambae yuko nje ya mkoa kikazi, huwa anachukua muda mwingi kazini nyumbani anakuja mara chache anaweza kukaa mpaka miezi mitatu bila kurudi kwa familia yake.
Huyu dada huku aliko ameanzisha mahusiano mapya yaani ni kama ndoa vile. Kilichoniumiza kama mwanaume jamaa amerudi kuja kutazama familia yake.
Sasa leo walikua wanasafari Kuna sehemu wanaenda, yule dada aliamua kunishirikisha kwenye hiyo safari, nilichoshangaa gari iliyotumika kwenye safari ni hiyo gari ya mchepuko, jamaa mwenye mke ndio alikua anaendesha gari ya mume mwenzake bila wasiwasi.
Je, siku akigundua anasalitiwa na mkewe na anaemchapia ni yule aliewapa gari atachukua uamuzi gani kama sio mauwaji, maana hii ni dharau ya hali ya juu