Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 490
- 1,461
Nisiwafiche, Nyie ni vibonge tuu... Msijione kama Nyie ndo namna gani vipi sio.... Mnariiiinga kisa hayo manyama? Nyie ni vibonge tu kama vibonge wengine.
Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.
Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..
Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?
Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)
Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.
Leo nimeingia tawi moja hivi la NMB hapa town, Ile nafika tu nakuta teller anapiga umbea na mwenzie wa dirisha lingine na sio kwamba hajaniona... Kaniona sana na ana bonge la tako hivyo pozi nyiiingi anafikiri tako litambeba.... kakazana huyo, " shostii nakwambia wema Kawa kama bibiii.... Bora hata alivyokuwa mnene na umbo lake alikuwa anavutia balaa ila sio sasa" Mi nimetulia tu namchora, nikasema leo wacha nimtolee uvivu.
Shostii yake alivyoniona akakata stori Ili nihudumiwe kwanza ndo yule tako anageuka eti karibu kaka.... Nikamwambia tumalize kwanza za wema.. kumbe angebaki vile vile angekuwa mzuri sio saizi eti ee? Kuanzia hapo akajua tu mjuba nimemaind akajishtukia eti samahani kaka angu karibu nikuhudumie..
Nikamwambia hakuna samahani hapo naongea Kwa sauti watu wote mpaka ofisini Kwa meneja wao wanasikia... Dada kakazana anaongea sauti ya chini Ili nipunguze Mimi ndo kwaaanza namuuliza... Vipi kajala unamuonaje bibie! Nae akipungua si atakua bibie kama wema tu?
Meneja wao ikabidi atoke, akauliza kuna nini hapa? Nikamwambia nipo na mfanya kazi wako hapa badaka ya kunihudumia amekazana anapia stori za wema sepetu yeye na mwenzie dirisha la pili hapo ndo ikabidi na Mimi niendeleze. Meneja akajua kosa ni lao akaomba radhi sana na akamwambia yule tako baada ya kazi unione shwaini wewe..... (Nimemnukuu)
Nyie ni vibonge tu, natumai atatia adabu na kesho naenda tena.