Kuna kilio cha wananchi kila kona kuhusu mabasi ya mwendokasi. Mabasi haya yanajaza pasipo mfano. Mabasi hayatoshi. Mabasi mengi yameharibika na yako yadi na hakuna matengenezo. Watu wanachelewa kufika kazini.
Kutokana na tatizo hili wananchi wameombaa kuwa daladala isaidie mabasi ya mwendokasi kwa kupita katika njia zao. Ninajiuliza hivi Watanzania tunakwama wapi. Kila tunachopewa kukiendesha sisi tunakiharibu. Hata hiyo SGR ambayo karibuni itaanza kazi mwishoni itakuwa kama mabus ya mwendo kasi. Sijui tumelaaniwa?
Kutokana na tatizo hili wananchi wameombaa kuwa daladala isaidie mabasi ya mwendokasi kwa kupita katika njia zao. Ninajiuliza hivi Watanzania tunakwama wapi. Kila tunachopewa kukiendesha sisi tunakiharibu. Hata hiyo SGR ambayo karibuni itaanza kazi mwishoni itakuwa kama mabus ya mwendo kasi. Sijui tumelaaniwa?