Kama natoka na mumeo...

Kama natoka na mumeo...

Pole sana Da Sophy!

Hapa napata picha na mitazamo tofauti kabisa. Kupata mchumba na kisha kuolewa si kitu chakuamua wewe mwenyewe na kutekeleza. Pana kudra na matakwa ya mweyezi Mungu.

U- binadamu nao unasumbua, ka wizi kama hako si mbaya sana. Nakushauri wakati unaendelea na ka wizi hata uangaze angaze macho yako ukipata kijana unayeridhika nao, ung'ang'anie mpaka akuoe.

Katika suala la kupata mme au mke hutapata mtu mwenye vigezo vyote unavyovitaka. Angalia yale mambo makubwa na ya msingi pekee. Pia nakushauri utafute kitabu kiitwacho "Definitive body Language". Naamini kinaweza kutoa mchango mkubwa kuelekea maisha yako ya kuolewa.

Mchana mwemw
 
eeka meku....kosa la da Sophy hapo ni kuutangazia umma ama ni kusema sema ovyo mkulu?

Maneno manenooo mimi sipendelei!!
Tatizo wakipewa za ki-Hongkong wanatangaza ooooh!! wewe wapewa za kichina mm mwenzio ndo nafaidi!!

Unajuaje kama mwenzio anapata za ki-German na Ki-Rassia???
 
listredi linakimbia sana.......kaizer na bht ndo wame-take off!!

mkuu, watu kibao wanaoa bila kukonsider dhamiri za ndoa. Lakini pia, mademu wengi sana wanang'ang'aniaga kuolewa........matokeo yake ni lazima jamaa atakuwa anapakua mchele kwenye majiko mengine.

Kwenye hili nina experience, wala usiniulize!!

hahaaaaaa kwemye chaki nimecheka mpaka nalia sasa!!!

na wewe unachanganya mchele na chuya ndo nini?
 
jibu umepewa hapa kw achini kidogo
alafu na wewe tabia za usungura sungura na kuwa sllipery umezitoa wapi??
Hapa ilikua ni ishu ya BAKITA, nothing hidden!
 
Hii Sredi imezua mambo...na hii weekend ngoja nitafute kikopo baridi hapa
Da Sophy uko off leo?
 
eeka meku....kosa la da Sophy hapo ni kuutangazia umma ama ni kusema sema ovyo mkulu?

Maneno manenooo mimi sipendelei!!
Tatizo wakipewa za ki-Hongkong wanatangaza ooooh!! wewe wapewa za kichina mm mwenzio ndo nafaidi!!

Unajuaje kama mwenzio anapata za ki-German na Ki-Rassia???
 
Kuna mtu kazungumzia Marangu pale Kimara bucha??? Na mwingine Korogwe???

Kiongozi chonde chonde!

Usitutie katika vishawishi lakini utuokoe maovuni..... (hebu angalia saa yako hapo)
 
Kiongozi chonde chonde!
Usitutie katika vishawishi lakini utuokoe maovuni..... (hebu angalia saa yako hapo)
Its 1830.
Macho hayako sawa. Mi nilidhani nimeona kitu kama Marangu samwea! Samahani kama umekwazika
.
 
Maneno manenooo mimi sipendelei!!
Tatizo wakipewa za ki-Hongkong wanatangaza ooooh!! wewe wapewa za kichina mm mwenzio ndo nafaidi!!

Unajuaje kama mwenzio anapata za ki-German na Ki-Rassia???


hahahahaha hommie hapo umeua kabisa kabisa ...duh...za kichina na kihongkong tena

hivi ile sredi ya Geoff alisemaga nyumba ndogos are here to stay iko wapi? someone do ze nidiful please
 
Kadude kweli kananiwasha sawa kabisa na mkeo kanavyomuwasha, kwani cha ajabu nini kwani mimi si mwanamke kama huyo mkeo. Na kameumbwa kwa ajili ya mwanaume, sasa kama huyo aliyeonesha nia na kunipenda ni mume wa mtu na mimi nimempenda unataka nifanye nini, nikae tu nijifanye sijisikii chochote au nikatafutane na asiyenipenda kama wanavyofanya machangu? Kila binadamu ana haki ya kushirikiana mapenzi na yule mwenye mapenzi naye, tuache unafiki.


da sophy una maneno ka dada mmoja alikua anatembea na mume wangu ila cjui aliishia wapi ati aliniambia wanaenda funga ndoa UK, mume akamiss home kabla hajaenda hata Uk akanirudi na magoti chini jamani nami kwa upendo nikamnyanyua na sasa tunalea watoto wetu kwa raha mustarehe!
 
Back
Top Bottom